Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,847
Yaani kumbe na wewe ni miongoni mwao..!
Hebu badilika bana.! Inakera sana hii kitu..!
Yaani kumbe na wewe ni miongoni mwao..!
Hebu badilika bana.! Inakera sana hii kitu..!
Ndio maana mimi nina extend muda wa kukuzungusha ili attention 100% niipate kwa muda mrefu; ndoa tutafunga nikishaanza kuwa mzee mzee and by that time too much attention itakuwa usumbufu kwangu.
hebo soma thread yoote uielewe
ni nature ya wanaume
nikibadilika itaharibu jinsia lol
mnhhh tuzeeke mara ngapi? lol
Hahahaaaa.... Dawa yenu tumeshaijuia..!
Dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake..!
Umeona eeh; usumbufu ndio remedy pekee ya wanaume.
mi sidhani kama nnakuwa nimechokwa,kwa sababu mwingine hata kuonana unakuwa hujawahi kuonana nae....anakuwa anakutafuta sana pindi tu utakapo anza na ww kumtafuta anaaanza kama kukupush hvi na ukianza na we kumpush anajirudi..sasa mi nachanganyikiwa.
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.