nyamalagala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 744
- 673
Wakuu amani iwe kwenu.
Nimekuwa nikijiuliza sababu za mabasi ya shule kuwa na rangi ya njano na si rangi nyingine lakini sijapata jibu kwani kila ninayemuuliza anashangaa kwanini iwe rangi hiyo tu.Wajuzi wa mambo tujuzane.
Kama ni utambulisho mbona kuna maandishi?.Kwakweli najiuliza mwanzo basi la shule lilikuwa na rangi gani na kwanini rangi ya njano iliamriwa kutumika na si nyeupe wala bluu.
Karibuni.
Nimekuwa nikijiuliza sababu za mabasi ya shule kuwa na rangi ya njano na si rangi nyingine lakini sijapata jibu kwani kila ninayemuuliza anashangaa kwanini iwe rangi hiyo tu.Wajuzi wa mambo tujuzane.
Kama ni utambulisho mbona kuna maandishi?.Kwakweli najiuliza mwanzo basi la shule lilikuwa na rangi gani na kwanini rangi ya njano iliamriwa kutumika na si nyeupe wala bluu.
Karibuni.