cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Wako vizuri lazima washinde wanaojituma sasa kina Diamond wanawa copy utegemee washindeYaani ndo kitu kingine nisichopenda kwa wanaigeria wako biased sana ukikuta kwenye Tuzo za Kinijeria wapo wasanii wengine wa Afrika atashinda mnijeria tu.
Afrimma na tuzo zao zingine zina upendeleo sana