Kwanini iwe Nigeria kila Kitu? Why Is It Nigeria. Wamewezaje?

zagarinojo

JF-Expert Member
Jul 26, 2020
2,622
2,835
Jamani hiki kitu kimenishangaza nimeamua kushare na ninyi mnisaidie. Afrika ina nchii huru zaidi ya 50. Ikiwemo Nigeria. Ila najua hatuwezi kulingana nchi zote au hatuwezi kuwa sawa Ila kwanini Nigeria kila kitu wapewe au wawe nacho wao?

Naanza kama ifuatavyo:

1.Uchumi Wa Nigeria na Ujumla wake
Inasemekana katika bara Afrika Nigeria ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa kwa kuzingatia kigezo cha Per Capita Income na Gross Domestic Product (GDP). Lakini ukiacha hivyo ndiyo nchi yenye matajiri wengi akiwemo Aliko Dangote tajiri wa Afrika. Lakini hata kwenye population Nigeria ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wengi Afrika nzima .

2.Burudani na Michezo.
Tukija kwenye upande wa Burudani na Michezo hapa tutakesha.

Tuanze na upande wa filamu. Nigeria ndiyo nchi inayoongoza kwa kuuza filamu zake kwa wingi Afrika lakini pia ughaibuni. Wasanii wa filamu nchini humo wamejizolea umaarufu katika filamu Zao pendwa.Nikitolea mfano filamu ya "Aki na Ukwa" au "Aki na Pawpaw"

Filamu ni moja kati ya vitu vinavyochangia kwa sehemu kubwa mapato ya nchi hiyo. Wakiwa wamiliki wa Kampuni ya Nollywood ambayo ni Moja ya makampuni bora ya kutengeneza movie Duniani

Tugeukie kwenye muziki hapa ndio usiseme kabisa. Najua huwezi pita kwenye club au disco na ukatoka bila kusikia wimbo kutoka Nigeria. Wasanii wao ni wenye majina makubwa na wenye umaarufu sana barani Afrika.Kwa mfano P-Square, Burna Boy, Davido, Yemi Alade, Wizkid, Tiwa Savage na wengineo.

Staili nyingi za kucheza zinabuniwa na wanaigeria na kupendwa Afrika nzima. Mfano Azonto, Zanku, Shaku, Sankoro, Soko, Antenna, Akwaba, Ngororo. Wasanii wao wameipa heshima kubwa nchi yao kwa kuchangia asilimia kubwa kwenye ukuaji wa uchumi.

Lakini pia katika michezo Nigeria imewahi kutoa wachezaji mahiri katika mpira wa miguu akiwemo Jay Jay Okocha.
Timu yao ya Taifa imekuwa ikishiriki mashindano makubwa ya soka e.g Kombe LA Dunia, Afcon na mengineyo.

N.B: Inasemekana hata kwenye uchawi Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa wachawi na waganga hodari Afrika.
 
Mkuu wa nchi akisema fyatueni watoto mnaanza kulialia. Population Ya nigeria ni almost mara tatu ya population Ya population yetu, wakati huohuo ukubwa kwa eneo, (Square km) kati ya Tanzania na nigeria hazipishani sana, kwa maana hiyo unahitaji akili nyingi sana kusurvive Nigeria kuliko Tanzania maana huko fursa ni Za kugombania kutokana na uwingi wa watu
 
Licha ya sifa zote za Nigeria lakini bado ni taifa la watu wa hovyo sana. Kuna ukabila na udini wa kutisha sana. Pia kuna ufisadi na rushwa ya Aina yake haijawahi kutokea.

Licha ya mapato ya mafuta iliyowaingizia dollar Trillion 2 miaka ile Bei ya mafuta ilikuwa juu lakini bado serikali ya Nigeria ilienda kuomba msaada wa pesa kwa mabeberu kupambana na KORONA (Inahuzunisha sana).

Okay let's say mabeberu wananyonya lakini there is a percent and portion mabeberu wanawaachia ambayo ni 50% ambayo ikitumiwa vizuri tu inainua uchumi na maisha ya raia lakini inaenda Kwa mifuko Micha he the same to Tanzania.

Africa sucks!
Kuna sifa ingine inaongoza kwa matapeli Africa labda vile wamesoma sana unaweza kuta babu ana PhD mpaka wajukuu wote hawana kazi.Ukimuuliza mtu njia ya kwenda sehemu anakuambia umpe hela kwanza.
Ukiwa airport kugongewa passport ofisa uhamiaji anakuambia tamthing is wrongi wuthe yor passport ukimpa hela anakuambia nawu is oki jonto mani aheri kuzaliwa Tanzania kwetu kuzuri
 
Sasa kama tumekuwa maadui sisi kwa sisi
Unadhan kuna kuendelea hapo
Watanzania Hawapendi kuukubali ukwel msanii hata afanye vizur utimu ndio unaoshamir kwetu bongo

Nilivoendaga nchi za wenzetu wanatushangaa ambavo hatipendan
 
Mkuu wa nchi akisema fyatueni watoto mnaanza kulialia
Population Ya nigeria ni almost mara tatu ya population Ya population yetu, wakati huohuo ukubwa kwa eneo, (Square km) kati ya Tanzania na nigeria hazipishani sana, kwa maana hiyo unahitaji akili nyingi sana kusurvive Nigeria kuliko Tanzania maana huko fursa ni Za kugombania kutokana na uwingi wa watu
Kwenye kugombania fursa kunafanya vichwa viumizwe ili kutusua hapo ndipo watu bora huibuka
 
1.Effects za ukoloni, UK
2. Crude oil industry
3. Jiografia yake
4. Population kubwa, internet users wengi. Mi rahis kuwa na ushindani mkubwa katka kila secta uliyotaja hapo.
5. dependants namba.

Hawa jamaa wanautamadun wa kuwa na family kubwa.
Pia viwanda vingi cement, mbao.
Bila kusahau mto mrefu Niger na bahari ni potential Kwao, Tucseme Sana bongo maendeleo yanakuja Kwa Kasi, japo nchi yetu kubwa tunapwaya watu 60milion,
 
Kuna sifa ingine inaongoza kwa matapeli Africa labda vile wamesoma sana unaweza kuta babu ana PhD mpaka wajukuu wote hawana kazi.Ukimuuliza mtu njia ya kwenda sehemu anakuambia umpe hela kwanza.
Ukiwa airport kugongewa passport ofisa uhamiaji anakuambia tamthing is wrongi wuthe yor passport ukimpa hela anakuambia nawu is oki jonto mani aheri kuzaliwa Tanzania kwetu kuzuri
Nilicheka nilipoona hili kwenye ile netflix movie ya Nigerian prince
 
Kuna sifa ingine inaongoza kwa matapeli Africa labda vile wamesoma sana unaweza kuta babu ana PhD mpaka wajukuu wote hawana kazi.Ukimuuliza mtu njia ya kwenda sehemu anakuambia umpe hela kwanza.
Ukiwa airport kugongewa passport ofisa uhamiaji anakuambia tamthing is wrongi wuthe yor passport ukimpa hela anakuambia nawu is oki jonto mani aheri kuzaliwa Tanzania kwetu kuzuri
Matapeli duniani.
 
Umesau na nyingine hizi hapa:
-Drag dealers
-con artists
-fraudsters
-swindlers
-corrupt
-Scammers
-untrustworthy to say the least.
 
Jamani hiki kitu kimenishangaza nimeamua kushare na ninyi mnisaidie.
Afrika ina nchii huru zaidi ya 50.Ikiwemo Nigeria.

Ila najua hatuwezi kulingana nchi zote au hatuwezi kuwa sawa Ila kwanini Nigeria kila kitu wapewe au wawe nacho wao?

Naanza kama ifuatavyo:

1.Uchumi Wa Nigeria na Ujumla wake
Inasemekana katika bara Afrika Nigeria ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa kwa kuzingatia kigezo cha Per Capita Income na Gross Domestic Product (GDP).
Lakini ukiacha hivyo ndiyo nchi yenye matajiri wengi akiwemo Aliko Dangote tajiri wa Afrika.
Lakini hata kwenye population Nigeria ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wengi Afrika nzima .


2.Burudani na Michezo.
Tukija kwenye upande wa Burudani na Michezo hapa tutakesha.

Tuanze na upande wa filamu.Nigeria ndiyo nchi inayoongoza kwa kuuza filamu zake kwa wingi Afrika lakini pia ughaibuni.
Wasanii wa filamu nchini humo wamejizolea umaarufu katika filamu Zao pendwa.Nikitolea mfano filamu ya "Aki na Ukwa" au "Aki na Pawpaw"

Filamu ni moja kati ya vitu vinavyochangia kwa sehemu kubwa mapato ya nchi hiyo.
Wakiwa wamiliki wa Kampuni ya Nollywood ambayo ni Mona ya makampuni bora ya kutengeneza movie Duniani

Tugeukie kwenye muziki hapa ndio usiseme kabisa.Najua huwezi pita kwenye club,au disco na ukatoka bila kusikia wimbo kutoka Nigeria.
Wasanii wao ni wenye majina makubwa na wenye umaarufu sana barani Afrika.Kwa mfano P-Square,Burna Boy,Davido,Yemi Alade,Wizkid,Tiwa Savage na wengineo.

Staili nyingi za kucheza zinabuniwa na wanaigeria na kupendwa Afrika nzima.
Mfano Azonto,Zanku,Shaku,Sankoro,Soko,Antenna,Akwaba,Ngororo.
Wasanii wao wameipa heshima kubwa nchi yao kwa kuchangia asilimia kubwa kwenye ukuaji wa uchumi.

Lakini pia katika michezo Nigeria imewahi kutoa wachezaji mahiri katika mpira wa miguu akiwemo Jay Jay Okocha.
Timu yao ya Taifa imekuwa ikishiriki mashindano makubwa ya soka e.g Kombe LA Dunia,Afcon na mengineyo.

N.B inasemekana hata kwenye uchawi Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa wachawi na waganga hodari Afrika.

Media na Maisha ya pale tofauti sana.utajiri wa kupitiliza na umaskini wa kupitiliza.elimu kubwa iliyokosa ajila.maadili mabovu ya viongozi na magenge aka yahoo boy.
Media zina weza kuficha uchi wa mtu
 
Back
Top Bottom