mkurupuo
Member
- Jul 12, 2015
- 51
- 14
MUM ipo under TCU ila haipo Cas only. Kwa maana wanachagua wenyw wanafunz kulingana na sifa elekezi za TCU alaf wanayatuma majina TCU.ndo maana wanafunzi wake pia ni wanufaika wa mkopo na wanalipia pia elfu 20 ya TCU.acheni imani potofu kwa kudhani MUM ni madrasa. Wale jamaa hawana huruma ktk masomo hamna degree ya chup pale wala hela. Struggle utapata chako. Wakristo husoma bila tatzo ila lazma sheria izingatiwe.
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri!!