Tena matatizo madogo madogo yanasoviwa kwa mgegedo tu hayahitaji hata kuyaongea
Wengi wao kwenye mapenzi, mawazo yako chini sana kwani kila tatizo wao ukimbilia kuachana, Badala kufanya suluhu.
Kwanini?
Eeeh basi pole, unaeza ukaacha ndo ukakutana na bomu lenyeweWew wasema wengine Ni Sugu utagegeda wapii Tabia iko pale pale suruhisho Ni Kuachana tu
Ila sasa mgegedo utapatikana while mtu kanuna?Tena matatizo madogo madogo yanasoviwa kwa mgegedo tu hayahitaji hata kuyaongea
Kuna wakati kuachana ni only solution.
Kuna ile minuno ya kishkaji tu hata mgegedo unapataIla sasa mgegedo utapatikana while mtu kanuna?
Na hiyo solution inafanya kazi kwa ufasaha zaidi..........bora kwenda njia hiyo...........
Kuna ile minuno ya kishkaji tu hata mgegedo unapata
Labda kakumbuka dhambi zako zinafanya mood iondokeIla sasa nisaidie jambo moja hua wakati mwengine mnanuna tu just kutest mtu au inakuwaje maana unaweza kuta from no where tu mood imechange mara hili mara lile ni kwanini
Namaanisha kwamba nyinyi wakina wanawake most of ukisikia stories tunazoongea that's whats they say mnataka attention I think coz how comes ghafla unabadilika kuwa umenuna halafu hupewi sababu ukichuna na wewe basi kesho yake unakuta anajisemesha tena kasahu ya jana na ndio most of you women mlivyo,unless kama tunaoverlook hili.u can share the experience hapo inakuaje?Labda kakumbuka dhambi zako zinafanya mood iondoke
Yaani kuna muda mtu anasema tuachane wewe ndio upo miguu yote miwili, kuna watu wana makusudi sijui au nini ex wangu kila tukitofautiana alikuwa ananiambia lets break up for good kila mara sasa nikawa namhoji inamaa wewe huoni umuhimu wa huu uhusiano kila mara kunitishia lets break up, lets break up inabore kwakweli finally tulibreak up lakini unakuta mtu tayari ana mtu mwingine na ndivyo ilivyokuwa kwakwe