Kwanini isitafutwe suluhu badala ya kuachana?

Kwanini isitafutwe suluhu badala ya kuachana?

Omary Zola

Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
29
Reaction score
3
Wengi wao kwenye mapenzi, mawazo yako chini sana kwani kila tatizo wao ukimbilia kuachana, Badala kufanya suluhu.

Kwanini?
 
Wengi wao kwenye mapenzi, mawazo yako chini sana kwani kila tatizo wao ukimbilia kuachana, Badala kufanya suluhu.

Kwanini?

ukiona anatanguliza kuachana ujue huyo anahasira au anamtu mwingine so she/he don care kwahiyo yupo tayari kwa lolote kutokea mi akianzisha hizo swaga kila sku unaongelea kuhus kuachana kiukweli naanza kutafuta mchepuko kiukweli mapenz ya kuachwa unanza kung'aa shalubu hata sitaki na siyawezi [mapenz yakuliwa enzi za mababu zetu sio sasa hivi majitu ni maongoo balaa mxiuuuu]
 
Kuna mambo mengine huwa yanatia utata hasa kama uliye naye una mpango wa kumuoa mfano kama mwanamke siyo mwaminifu duuh hii itakutia waswas kwamba huenda hata ukimuoa itakuwa taabu tu lakini kuna mambo mengine kweli ni ya kukaa na kuzungumza tuu yakaisha sasa ukiona hata vijimambo vidogo mtu anakomalia muachane ujue alikuwa anatafta sababu toka zamani
 
ukiona anatanguliza kuachana ujue huyo anahasira au anamtu mwingine so she/he don care kwahiyo yupo tayari kwa lolote kutokea mi akianzisha hizo swaga kila sku unaongelea kuhus kuachana kiukweli naanza kutafuta mchepuko kiukweli mapenz ya kuachwa unanza kung'aa shalubu hata sitaki na siyawezi [mapenz yakuliwa enzi za mababu zetu sio sasa hivi majitu ni maongoo balaa mxiuuuu]
Yaani kuna muda mtu anasema tuachane wewe ndio upo miguu yote miwili, kuna watu wana makusudi sijui au nini ex wangu kila tukitofautiana alikuwa ananiambia lets break up for good kila mara sasa nikawa namhoji inamaa wewe huoni umuhimu wa huu uhusiano kila mara kunitishia lets break up, lets break up inabore kwakweli finally tulibreak up lakini unakuta mtu tayari ana mtu mwingine na ndivyo ilivyokuwa kwakwe
 
Kama kwenye mapenzi kila ugomvi ni kuachana basi hapo ni sawa na maamuzi ya kuzima moto kwa petrol.
 
Yaani kuna muda mtu anasema tuachane wewe ndio upo miguu yote miwili, kuna watu wana makusudi sijui au nini ex wangu kila tukitofautiana alikuwa ananiambia lets break up for good kila mara sasa nikawa namhoji inamaa wewe huoni umuhimu wa huu uhusiano kila mara kunitishia lets break up, lets break up inabore kwakweli finally tulibreak up lakini unakuta mtu tayari ana mtu mwingine na ndivyo ilivyokuwa kwakwe

uimeeonaa eeh Gemmy jingine unakuta linajitamkia tu kwa kukutishia na huwa yule anaambiwe hivyo huwa akiondoka anaondokaga mazima haludigi nyuma kwa maana mtu kama mnapendana kweli kwanin umtamkie mwenzio kwamba lets break up so ninganganie kwakuwa yake ni tamu saan kuliko nyingine au?? uuwaii mengine yanaboa jmni ndo ukute saasa umesugua naee ndubesa wee miaka ya udaktar alafu anakuja na swaga za kuachana walla ntakuacha uende ila ctakua uende hivi hivi ipo sku kitajulikana tu no matter what maan miaka yote hiyo hukuwah kusema leo ujidai lets break up nyoo.


The person you think is useless to day might be usefully to you tomorrow.
 
Last edited by a moderator:
uimeeonaa eeh Gemmy jingine unakuta linajitamkia tu kwa kukutishia na huwa yule anaambiwe hivyo huwa akiondoka anaondokaga mazima haludigi nyuma kwa maana mtu kama mnapendana kweli kwanin umtamkie mwenzio kwamba lets break up so ninganganie kwakuwa yake ni tamu saan kuliko nyingine au?? uuwaii mengine yanaboa jmni ndo ukute saasa umesugua naee ndubesa wee miaka ya udaktar alafu anakuja na swaga za kuachana walla ntakuacha uende ila ctakua uende hivi hivi ipo sku kitajulikana tu no matter what maan miaka yote hiyo hukuwah kusema leo ujidai lets break up nyoo.


The person you think is useless to day might be usefully to you tomorrow.
Hapo ni miaka mitatu mpenzi lakini unajua siku zote penzi halilazimishwi maana utaona rangi zote hivi vitu vinatakiwa kuflow vyenyewe automatically kila mtu aone umuhimu wa mwenzie kila mtu afeel needed na cherished maisha ya takuwa matamu sana
 
Ndo muda sasa wa kufata mgegedo
sometimes ukiona migogoro isio na kichwa wala miguu ni ishara ya nyege pia

hahahaa,,haka ni kaukwel kbs,,me mwenyew kazi ikiwa inabana bana papa naianzishiaga tifu tuu
 
hahahaa,,haka ni kaukwel kbs,,me mwenyew kazi ikiwa inabana bana papa naianzishiaga tifu tuu
Ndo ilivo, hata mi kuna kipindi tukimisiana ni ugonvi tu tena usio na kichwa wala miguu malumbano yasioisha
nikikaa kutafakari sioni cha maana napanda zangu basi kifuatacho ITV........
 
Back
Top Bottom