HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Kwa kweli sioni na hamna sababu kabisa ya watanzania kushindwa kuwa na bima ya afya kwa wote au kupata matibabu bure kama ilivyo Zanzibar.
Hili ni jambo la msingi sana na linaweza kuokoa maisha ya watanzania wengi ambao wanakufa kwa kukosa matibabu.
Kama imewezekana kwa watumishi kulipia bima ya afya kwa kukatwa kwenye mishahara yao kwa mwezi kwa lazima kwanini wananchi nao wasiruhisiwe kulipia bima hiyo kwa kuchangia kila mwezi kwa lazima?
Mambo mengine serikali ikiwemo kulipa kodi inaweza kulazimisha wananchi kulipa kwa lazima hadi kukamata akaunti zao za benki iweje hili lishindikane?
Hili ni jambo la msingi sana na linaweza kuokoa maisha ya watanzania wengi ambao wanakufa kwa kukosa matibabu.
Kama imewezekana kwa watumishi kulipia bima ya afya kwa kukatwa kwenye mishahara yao kwa mwezi kwa lazima kwanini wananchi nao wasiruhisiwe kulipia bima hiyo kwa kuchangia kila mwezi kwa lazima?
Mambo mengine serikali ikiwemo kulipa kodi inaweza kulazimisha wananchi kulipa kwa lazima hadi kukamata akaunti zao za benki iweje hili lishindikane?