Kwanini inatokea hivi siku chache kabla ya ndoa?

Kwanini inatokea hivi siku chache kabla ya ndoa?

Fundi_Mjasiriamali

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
745
Reaction score
1,348
,
Screenshot_2018-10-20-19-46-12.jpeg
 
n tamaa tuu znasumbua watu wanaona wacheat cha mwixomwixo kumbe ndo kufungua mlango wa tamaa za kucheat
Mi mwenyewe demu akishanambia anamtu yaan hata shauku ya kumfatilia ina potea.. lakini nashanga kwa wengine mpaka siku ya ndoa wanaenda kukwichkwichi na ma ex wao
 
Hata muumini wa hii kitu. Kabla sijaoa lazima nifanye Party ya kuagana na X girl friend wangu. Hii ni muhimu sana maana usipo aga unaweza endelea kuchepuka baabda ya ndoa.

Hivyo nawaasa vijana wenzangu tuagane
 
UKITAKA KUJUA MA EX WA DEMU WAKO "" TANGAZA NDOA YAAN KUMUOA HUYP DEMU".


HAPO NDO, wanaume hujitokeza sana..nakatika hao, akiwepo ambaye huyo dem alikua abampenda.

KAJAMAA KATAKULA MZIGO wa "Kuaga".

NB...unaposex namtu, maana yake UNAUNGANA NAYE KIROHO ...ivo uwezekano wa Kukumbushia ni MKUBWA hasa ukikuta mtu hajaamua
 
Hapo ndio ujue wengi uolewa kutoa nuksi tu. Bora Kidume hapo kisimuache kumtunzia heshima, ila na chenyewe kiwe kinaaga kuwa kinaenda kukumbushia kama adhabu yake.
 
Back
Top Bottom