Huyo aliyekuwa ana du naye ndiye anayempenda ila huyo anayemuoa amekubali kuolewa naye mana hana namna tu. Ni kama kukubali kufanya kazi kwa mhindi mana hauna option ingine. That's overover.
Kama VP wadada njooni hapa mpinge.
Ukiona Upo uchumba na mwanamke afu hakupi mzigo kila muda ama hakuambii kuwa anawashwa huko umkune eti mpaka umuoe basi jua kabisa yupo ambaye anabembelezwa aje kula tunda hilo pendwa mkuu.
Mwanamke inatakiwa akupende naye ila sio kuwa akupende ili umuoe.
Ndoa itatokea mbele ya safari huko mkiwa mnakulana ndo Poa.
Ila umepewa namba anakuuliza una mpango gani namie.
Kuna mwalimu Wa mbeya nimemkaribisha first year akafanyiwa ile party yao pale uwanja Wa mabibo hostel usiku wakapigiwa mziki nikaenda kumla hostel block e.yaaji demu hata hatujadumu mwezi anahitaji mhakikishie ndoa. Yaaji ni kama alikuja kutafuta mchumba. Mpaka jina nimelikumbuka na Nilikuwa nishamsahau.
Nikamtema fasta sana.
Usioe kisa demu ametaka ndoa ila oa kwa ridhaa yako mwenyewe kama demu anataka ndoa basi aanzishe michakato mpaka ya kuku approach wewe