Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,840
Hili swala sio geni, Kuna walimu zaidi ya watatu wanasema hili. Kwamba ukionekana wewe unapambania haki za walimu wenzako iwe shuleni kwenu au popote pale basi walimu huwa wanamchukuia mwalimu huyo nakumuona wa tofauti sana tena anaweza akatengwa
Mwalimu anadai haki zake kwani kosa lipo Wapi? Lakini utakuta walimu wenzake wanasema huna heshima Kwa boss wako mara kuwa mzalendo yani anakuwa kama mwasi.
Mwalimu anadai haki zake kwani kosa lipo Wapi? Lakini utakuta walimu wenzake wanasema huna heshima Kwa boss wako mara kuwa mzalendo yani anakuwa kama mwasi.