Kwanini Ibenge Anampenda Sana Mukoko Kuliko Clatous Chama?

Labda mna maana tofauti ya mafanikio.

Kaze amewahi kufundisha Spain...Je kunamfanya yeye kuwa Kocha bora zaidi kuliko Ibenge...? πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani neno mafanikio unalichukuliaje maan naweza kuandika thread nzima kumbe mwenzangu hoya hoya
 
Mbona jambo lilikuw linakuzwa magazetini kwamba sisi tunamuhitaji ila ilikuw sio rahisi kuja simba nyie mkapata nafas ya kumchukua na hakutuacha mtaani sijui umenielewa wewe msukule
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ushaanza kuvuta Unga wa Mmexico Pablo si ndio..?

Aucho mwenye alikiri kwa mdomo wake kuwa Simba walimuhitaji na wakawa wanafanya mazungumzo na wakala wake.

Ila yeye alipenda kuja Utopoloni FC zaidi kwa sababu ya mapenzi yake na Klabu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ushaanza kuvuta Unga wa Mmexico Pablo si ndio..?

Aucho mwenye alikiri kwa mdomo wake kuwa Simba walimuhitaji na wakawa wanafanya mazungumzo na wakala wake.

Ila yeye alipenda kuja Utopoloni FC zaidi kwa sababu ya mapenzi yake na Klabu.
Aliwakusanya tu kwa vile nyie ni hoya hoya
 
Kwani neno mafanikio unalichukuliaje maan naweza kuandika thread nzima kumbe mwenzangu hoya hoya
Mafanikio ni kile unachotaka kukifikia kwa jitihada zilizopo.

Sasa inategemea kila mtu ana kipimo chake cha Mafanikio.

Mwengine anaweza kusema kuwa mafanikio yangu ni kula kete 1 UNGA.

Ila mwingine akasema mafanikio yake ni kuuza kete 20 za UNGA.

Usiniambie kuwa Pablo Escobar mafanikio na ndoto zake katika maisha yake ni kufundisha Spain...?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mafanikio ni kile unachotaka kukifikia kwa jitihada zilizopo.

Sasa inategemea kila mtu ana kipimo chake cha Mafanikio.

Mwengine anaweza kusema kuwa mafanikio yangu ni kula kete 1 UNGA.

Ila mwingine akasema mafanikio yake ni kuuza kete 20 za UNGA.

Usiniambie kuwa Pablo Escobar mafanikio na ndoto zake katika maisha yake ni kufundisha Spain...?πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeanza vizuri ila hapo mwishoni ukamaliza na uharo
Chukua Dozi yako ukalale πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

580BEFA7-66A5-41CE-9FC2-5551406F8C89.jpeg
 
Niidhani kuwa utabisha kwamba hakuwahi kusema kuwa Makolokolo FC walimtaka....

Bingwa wa kihistoria mara 27. Nani akatae offer ya kuchezea Jangwani...?

Usikute hata huyo chama naye ni shabiki wa Yanga SC tangu angali kwa Zambia
Kweli ww oya oya
Haya nenda avic town ukakumbatiwe maan unaandika uharo mtupu

F4F3A410-217E-4E5E-9D3F-0B169B4DB49C.jpeg
 
Unga wa Pablo Escobar umeshaanza kukusukuma kwenye tweets zako ka huko Twitter...

Sasa ulichokiandika kwenye tweet kina maana gani iliyo na utofauti ya kile kinachoandikwa kwenye gazeti la Udaku..?

πŸ˜‚πŸ˜‚
Udaku tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kauli za msukule zinawauma sana kwa vile mko nae
 
Fulaha kama hiyo inapatikana Avic Town tu.

Kule Bunju sasa hivi wanatafutana Pablo Kaingia na Unga mazoezini..

Wachezaji wanapataje furaha...πŸ˜‚πŸ˜‚
Furaha yenu ni kukumbatiana groupie kaam hivyo huku mmeshikana viuno jinsia moja?
Kijana mjitafakari huko utopoloni
 
Udaku tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kauli za msukule zinawauma sana kwa vile mko nae
Msukule gani tena huo unaoitwa JOSHUA MFUKO?

Ulivyoleta hiyo tweet tulidhani wewe ndiye uliye iandika...

Au Manara siku hizi ndio anaitwa JOSHUA MFUKO..? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Labda mna maana tofauti ya mafanikio.

Kaze amewahi kufundisha Spain...Je kunamfanya yeye kuwa Kocha bora zaidi kuliko Ibenge...? πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio kufundisha spain, taja club tuone kama inaweza kukaa mizani moja na madrid
 
Furaha yenu ni kukumbatiana groupie kaam hivyo huku mmeshikana viuno jinsia moja?
Kijana mjitafakari huko utopoloni


Sasa mbona hiyo picha imeonyesha nusu ya furaha ambayo wanajangwani tunayo.

Hiyo ni nusu furaha aisew maana si kwa pira lile la Coach Nabi.
 
Unadhani Yanga wanashida ya pesa hivi sasa...?

Unadhani wanaweza fanya dili la kuuza mchezaji kwa sababu ya kifedha...?

Unahitaji uende extra miles kumbeba mchezaji ambaye yuko kwenye mipango ya klabu pale Jangwanj.

Doli Doli ndio njia pekee!
Haihitaji kuniambia ili nijue kwamba yanga ina au haina shida ya pesa. Miundo mbinu ya klabu tu inaongea kila kitu kwamba hapa kuna njaa.
Kwa hiyo kutouza mchezaji sio kwa sababu hamna shida ya pesa bali utopolo wenu ambao huko damuni maana mmewahi kumbania Ngasa asiuzwe kwenda El Mareihk.
 
Sio kufundisha spain, taja club tuone kama inaweza kukaa mizani moja na madrid
Basi tufanye hivi..


Kwa kuwa ameifundisha Getafe FC kwa miezi 4 na Real Madrid kwa Miezia 6.

Tuhitimishe kwa kusema Pablo Escober ni Kocha bora kwa sasa hapa barani afrika kuliko Pitso Mosimane.

Pia tuhitimishe kwa kusema Pablo Escobar ni kocha mwenye mafanikio makubwa kuliko Pitso Mosimane.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Basi tufanye hivi..


Kwa kuwa ameifundisha Getafe FC kwa miezi 4 na Real Madrid kwa Miezia 6.

Tuhitimishe kwa kusema Pablo Escober ni Kocha bora kwa sasa hapa barani afrika kuliko Pitso Mosimane.

Pia tuhitimishe kwa kusema Pablo Escobar ni kocha mwenye mafanikio makubwa kuliko Pitso Mosimane.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nabi tito kafundisha club gani za huko majuu?

Kipengele siyo?

Basi nakurahisishia, nitumie hata picha aliyopiga akiwa na kocha yeyote yule mwenye hadhi kama club ya madrid

Angalizo usintumie ile ya juzi walipokua meza moja aliyopiga na zuhura wakipata lunch maana mmekua mkimwita proffessional coach, usifanye hivyo itakua rahisi sana mimi kukustukia

Na kuedit pia unaruhusiwa
 
Huhitaji kuniambia ili nijue kwamba yanga ina au haina shida ya pesa. Miundo mbinu ya klabu tu inaongea kila kitu kwamba hapa kuna njaa. Kwa Afrika Mashariki na kati hakuna klabu isiyo na shida na pesa na ushahidi ni miundombinu inayomilikiwa na klabu.

Mpira ni biashara kwa hiyo kusema mchezaji hawezi kuuzwa kwa sababu ya fedha unashangaza na kama wewe ni kiongozi wa mpira basi ndio maana soka letu liko hivi.


Mashabiki wa Kibongo wengi wamechanganyikiwa kama wachambuzi wao wa mpira. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unaweza mkuta mti anasema kuwa Yanga SC inahonga motisha timu nyingine ili ziikamie simba.

Halafu
 
Mashabiki wa Kibongo wengi wamechanganyikiwa kama wachambuzi wao wa mpira. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Unaweza mkuta mti anasema kuwa Yanga SC inahonga motisha timu nyingine ili ziikamie simba.

Halafu
Una haki ya kuandika hivi ila sio uthibitisho kuwa shutuma sio za kweli. Kuuliza 'halafu' ,hata mtoto wa darasa la nne hawezi kuuliza hivi.
 
Back
Top Bottom