Kwanini Ibenge Anampenda Sana Mukoko Kuliko Clatous Chama?

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,251
15,125
Kwanini Frolent Ibenge amekuwa akipenda kusimamia falsafa ya soka la Kikongo la kupenda wachezaji/viungo wasio wanyumbulifu zaidi?

Je ni sababu inayompelekea kuona mchezaji mbadala wa kufanikisha malengo yake pale RS Berkane ni kuwa na aina ya kiungo kama Mukoko.

Huenda labda mafanikio yake katika soka la Kiafrika limechochewa sana na utumiaji wake wa viungo wasio wanyumbulifu na wenye uwepesi wa kufanya maamuzi.

Pia amekuwa mfuasi mkuu sana wa wachezaji wenye uzania sawa katika ulinzi/ushambulizi.

Huenda Mukoko akawa jawabu la mafanikio yake pale RS Berkane.

Lakini kinacho muumiza zaidi ni kwamba Klabu ya Mukoko haina mpango wa kumuachia Mukoko hivi karibuni.

Hii ni kutokana na kuwa Aucho si mchezaji mwenye uwezo wa kuhimili physical challenges hivyo yuko prone to injury. Kitu ambacho kinawapa wasiwasi sana viongozi wa klabu kumuachia Mukoko ili hali bado hawajapata mbadala wa pili wa Aucho.

Je nini afanye Ibenge kuhakikisha anampata Mukoko kwa gharama yeyote ili akamilishe malengo yake katika klabu ya RS Berkane? Itampasa avuke mipaka ambayo itawashawishi zaidi viongozi wa Yanga kumuachia Mukoko. Moja ya hilo sio kuleta kitita cha pesa tu...Bali kuongeza cha Juu zaidi ambacho kitawatamanisha zaidi Yanga.

Je ifikapo January, kuna uwezekano wa kuona swap deal ya kwanza kabisa ikifanyika baina ya Mukoko na Chama.

Muda Utaongea.

IMG_20211108_212336.jpg


IMG_20211108_212339.jpg
 
Kwanini Frolent Ibenge amekuwa akipenda kusimamia falsafa ya soka la Kikongo la kupenda wachezaji/viungo wasio wanyumbulifu zaidi?

Je ni sababu inayompelekea kuona mchezaji mbadala wa kufanikisha malengo yake pale RS Berkane ni kuwa na aina ya kiungo kama Mukoko.

Huenda labda mafanikio yake katika soka la Kiafrika limechochewa sana na utumiaji wake wa viungo wasio wanyumbulifu na wenye uwepesi wa kufanya maamuzi.

Pia amekuwa mfuasi mkuu sana wa wachezaji wenye uzania sawa katika ulinzi/ushambulizi.

Huenda Mukoko akawa jawabu la mafanikio yake pale RS Berkane.

Lakini kinacho muumiza zaidi ni kwamba Klabu ya Mukoko haina mpango wa kumuachia Mukoko hivi karibuni.

Hii ni kutokana na kuwa Aucho si mchezaji mwenye uwezo wa kuhimili physical challenges hivyo yuko prone to injury. Kitu ambacho kinawapa wasiwasi sana viongozi wa klabu kumuachia Mukoko ili hali bado hawajapata mbadala wa pili wa Aucho.

Je nini afanye Ibenge kuhakikisha anampata Mukoko kwa gharama yeyote ili akamilishe malengo yake katika klabu ya RS Berkane? Itampasa avuke mipaka ambayo itawashawishi zaidi viongozi wa Yanga kumuachia Mukoko. Moja ya hilo sio kuleta kitita cha pesa tu...Bali kuongeza cha Juu zaidi ambacho kitawatamanisha zaidi Yanga.

Je ifikapo January, kuna uwezekano wa kuona swap deal ya kwanza kabisa ikifanyika baina ya Mukoko na Chama.

Muda Utaongea.

View attachment 2003527

View attachment 2003530
Hata ww ukiwa boss utapenda Sana kuwaajili wafanyakazi wako uliofanya nao kazi mwanzo kuliko uliowaajili sasahv sbb itachukua mda kuendana na utawala wako na kasi yako
 
Unaota wewe halafu pia unaumwa
Chama aje acheze utopolo 😂😂😂
 
Kwamba kitita chochote cha pesa hakitoshi kumnunua Mukoko bila swap deal la Chama..Utopolo bhana.
Unadhani Yanga wanashida ya pesa hivi sasa...?

Unadhani wanaweza fanya dili la kuuza mchezaji kwa sababu ya kifedha...?

Unahitaji uende extra miles kumbeba mchezaji ambaye yuko kwenye mipango ya klabu pale Jangwanj.

Doli Doli ndio njia pekee!
 
Kufundisha timu spain nayo ni mafanikio tosha sijui ww neno mafanikio lina maana gani hebu tuambie kwanza
Labda mna maana tofauti ya mafanikio.

Kaze amewahi kufundisha Spain...Je kunamfanya yeye kuwa Kocha bora zaidi kuliko Ibenge...? 😂😂
 
Back
Top Bottom