Kwanini huwa hivi

Kwanini huwa hivi

sio rahisi, haiwezi kutokea

be-mine-smiley-emoticon.gif
 
jitihada zote zimegonga ukuta kakutangazia ubaya kwa majirani zako mara hivi mara vile kutengana kwenu kusiwe chanzo cha uhasama



naimba tu
piga ua ottu jazz
 
Mnapokuwa kwenye furaha ya mapenzi huitana majina yote mazuri na yenye kuvutia lakini mkikosana kidogo tuu yale majina huyeyuka na kuanza kuitana wewe nanihii au we we fulani kwanini?
Itaneni yaleyale hata kama mmeudhiana kwakuwa hasira ikiisha mtaendelea na mapenzi yenu kama kawa

ngoja ugundue mtoto sio wako uone kama utampamba tena!!!
 
Back
Top Bottom