sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Dada Pretty miaka 30 ni mingi ndugu yangu mtu asikudanganye na anekuambia kuolewa sio issue inamaana anataka uwe malaya au utembee na wanaume za watu? kutokana na maelezo yako Kama unavyodai majamaa zako wa nyuma wote bado hawajaoa mimi navyoona huo ni mkosi au nuksi shost kukutana na mijinaume ambayo sio mioaji mfululizo mhh! sasa fata ushauri naokwambia Kama nikuomba mungu omba mungu akuondolee nuksi ya kutokuolewa kwanza ikishatoka ndio uombe mungu akuchagulie mume, pili nina wasiwasi una jini mahaba lina kupeleka kwa wanaume wasiofaa ambao pia wao wana hayo majini shost piga vizuri Kama wewe ni mkristo kemea jini mahaba kwa kwenda mbele mama la sivyo unazeeka kumbuka kuna kuna kuzaa na watoto ni hazina maishani usijidanganye ukazaa bila kuolewa huko nikujidhalilisha yaani ukae miaka yote hiyo 30 halafu uje uzae bila kuolewa usikubali wanaume wapo kibao wanatafuta wanawake wa kuoa hawawaoni kwani una kasoro gani chakarika mwaka huu usiishe shost
mmh!Loly! imenigusa....ngoja nikale narudi kuchangia