Kwanini huolewi? Au una kasoro?

Dada Pretty miaka 30 ni mingi ndugu yangu mtu asikudanganye na anekuambia kuolewa sio issue inamaana anataka uwe malaya au utembee na wanaume za watu? kutokana na maelezo yako Kama unavyodai majamaa zako wa nyuma wote bado hawajaoa mimi navyoona huo ni mkosi au nuksi shost kukutana na mijinaume ambayo sio mioaji mfululizo mhh! sasa fata ushauri naokwambia Kama nikuomba mungu omba mungu akuondolee nuksi ya kutokuolewa kwanza ikishatoka ndio uombe mungu akuchagulie mume, pili nina wasiwasi una jini mahaba lina kupeleka kwa wanaume wasiofaa ambao pia wao wana hayo majini shost piga vizuri Kama wewe ni mkristo kemea jini mahaba kwa kwenda mbele mama la sivyo unazeeka kumbuka kuna kuna kuzaa na watoto ni hazina maishani usijidanganye ukazaa bila kuolewa huko nikujidhalilisha yaani ukae miaka yote hiyo 30 halafu uje uzae bila kuolewa usikubali wanaume wapo kibao wanatafuta wanawake wa kuoa hawawaoni kwani una kasoro gani chakarika mwaka huu usiishe shost

mmh!Loly! imenigusa....ngoja nikale narudi kuchangia
 
kibongo bongo usipoolewa una kasoro ila kiwestern aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhh unadunda tukuolewa ni uamuzi wa mtu na wala c lzm
 
Dada Pretty miaka 30 ni mingi ndugu yangu mtu asikudanganye na anekuambia kuolewa sio issue inamaana anataka uwe malaya au utembee na wanaume za watu? kutokana na maelezo yako Kama unavyodai majamaa zako wa nyuma wote bado hawajaoa mimi navyoona huo ni mkosi au nuksi shost kukutana na mijinaume ambayo sio mioaji mfululizo mhh! sasa fata ushauri naokwambia Kama nikuomba mungu omba mungu akuondolee nuksi ya kutokuolewa kwanza ikishatoka ndio uombe mungu akuchagulie mume, pili nina wasiwasi una jini mahaba lina kupeleka kwa wanaume wasiofaa ambao pia wao wana hayo majini shost piga vizuri Kama wewe ni mkristo kemea jini mahaba kwa kwenda mbele mama la sivyo unazeeka kumbuka kuna kuna kuzaa na watoto ni hazina maishani usijidanganye ukazaa bila kuolewa huko nikujidhalilisha yaani ukae miaka yote hiyo 30 halafu uje uzae bila kuolewa usikubali wanaume wapo kibao wanatafuta wanawake wa kuoa hawawaoni kwani una kasoro gani chakarika mwaka huu usiishe shost

Ahsante kwa ushauri mpenzi.
Lakini kwa mtazamo wangu umalaya ni uamuzi tu wa mtu, haijalishi kama nimeolewa au sijaolewa.
Pili kuhusu nuksi au mkosi ina maana wote ambao hawajaolewa wana nuksi?mkosi?
Ndugu yangu labda ungeniambia kwanza jini mahaba ana alama zipi zaidi ya kunikosesha mume?
Sitaki kuamini kuwa nina jini kwa sababu maisha ninayoishi na mazingira yangu sijui majini yanakujaje labda unieleweshe.
Kwa hiyo niolewe kwa ajili ya kupata watoto?

nina furaha ya maisha, napata pesa kwa kujishughulisha mwenyewe, sina migogoro na watu na nina uhuru wa kufurahia maisha so hapa nuksi ipo kwenye kuolewa tu?
Na walioolewa hawapati watoto, wananyanyasika kwenye ndoa, wanaishi maisha ya dhiki, ndoa zao hazina furaha nao utasema wana nuksi?

Ni kweli wanaume wapo wengi wanaotafuta wa kuwaoa na wanawake wanaotafuta kuolewa pia wapo wengi!
Sitafuti kuolewa ili kuwafunga watu midomo.
Kama kutafuta nitakapotaka kutafuta na mie nitaweka Post hapa JF, na kwenye ile mitandao yooooooote ya kutafuta wapenzi.
 
wengine micharuko huko kuolewa watakusikia ktk kitchen parts tu!

Na wapo pia micharuko twawafanyia kitchen party kila wiki wanaolewa.
Kila mtu ana anachokipenda....
Nadhani haina uhusiano!
Hao labda wameamua maisha ya kuwa wenyewe.
 
<p>
cku hiz kuolewa cyo inshu tafuta m2 au ntafute mimi nikutie mimba ukishajifungua lea mtoto wako mwenyewe .....maisha yanaendelea
</p>
<p>&nbsp;</p>

Unazania kila mtu ni malaya ka wewe ebo!
 
<p>
Ahsante kwa ushauri mpenzi.</p>
<p>Lakini kwa mtazamo wangu umalaya ni uamuzi tu wa mtu, haijalishi kama nimeolewa au sijaolewa.</p>
<p>Pili kuhusu nuksi au mkosi ina maana wote ambao hawajaolewa wana nuksi?mkosi?</p>
<p>Ndugu yangu labda ungeniambia kwanza jini mahaba ana alama zipi zaidi ya kunikosesha mume?</p>
<p>Sitaki kuamini kuwa nina jini kwa sababu maisha ninayoishi na mazingira yangu sijui majini yanakujaje labda unieleweshe.</p>
<p>Kwa hiyo niolewe kwa ajili ya kupata watoto?</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>nina furaha ya maisha, napata pesa kwa kujishughulisha mwenyewe, sina migogoro na watu na nina uhuru wa kufurahia maisha so hapa nuksi ipo kwenye kuolewa tu?</p>
<p>Na walioolewa hawapati watoto, wananyanyasika kwenye ndoa, wanaishi maisha ya dhiki, ndoa zao hazina furaha nao utasema wana nuksi?</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Ni kweli wanaume wapo wengi wanaotafuta wa kuwaoa na wanawake wanaotafuta kuolewa pia wapo wengi!</p>
<p>Sitafuti kuolewa ili kuwafunga watu midomo.</p>
<p>Kama kutafuta nitakapotaka kutafuta na mie nitaweka Post hapa JF, na kwenye ile mitandao yooooooote ya kutafuta wapenzi.
</p>
<p>&nbsp;</p>

dada kwani wewe hupendi kuolewa au unapenda sema huyo mume ndio bado hajapatikana?

kuhusu jini mahaba kwani wewe imani yako haijui kuwa kuna majini? simaanishi kuyaabudu dadangu Kama hujui bora ujue sasa kuwa watu wenye majini mahaba wengi wao hawaolewi na wanao olewa ndoa zinakuwa ngumu kupita kiasi na wengine pia hawazaagi sometimes wakibeba mimba zinaharibika Kama hujui nakujuza sasa hili ni tatizo kwa wengi.

Kingine Kama huna mpango wa kuzaa usihofie kuolewa kaa hivyohivyo, nafikiri hukunielewa nilivyosema kuwa anaekushauri 'kuolewa sio issue anataka uwe malaya au utembee na wanaume za watu?' sio lazima uwe malaya unaweza ukatulia hata usipokuwa na mume dadangu.
 
Dada Pretty miaka 30 ni mingi ndugu yangu mtu asikudanganye na anekuambia kuolewa sio issue inamaana anataka uwe malaya au utembee na wanaume za watu? kutokana na maelezo yako Kama unavyodai majamaa zako wa nyuma wote bado hawajaoa mimi navyoona huo ni mkosi au nuksi shost kukutana na mijinaume ambayo sio mioaji mfululizo mhh! sasa fata ushauri naokwambia Kama nikuomba mungu omba mungu akuondolee nuksi ya kutokuolewa kwanza ikishatoka ndio uombe mungu akuchagulie mume, pili nina wasiwasi una jini mahaba lina kupeleka kwa wanaume wasiofaa ambao pia wao wana hayo majini shost piga vizuri Kama wewe ni mkristo kemea jini mahaba kwa kwenda mbele mama la sivyo unazeeka kumbuka kuna kuna kuzaa na watoto ni hazina maishani usijidanganye ukazaa bila kuolewa huko nikujidhalilisha yaani ukae miaka yote hiyo 30 halafu uje uzae bila kuolewa usikubali wanaume wapo kibao wanatafuta wanawake wa kuoa hawawaoni kwani una kasoro gani chakarika mwaka huu usiishe shost

Nimerudi.

Loly mpenzi,
1. miaka 30 ni mingi ukimaanisha nini?ni wapi imeandikwa mtu aolewe kabla hajafika 30 years?hapo naona umekosea kidogo
watu wanaolewa wakiwa hata na miaka 40 na kupitiliza, binafsi nadhani hakuna umri maalum ambao mwanamke anapaswa awe amekwisha olewa.

2. kuwa na majamaa ambao wao pia hawajaoa haimaanishi una nuksi...wao wana maisha yao na wewe una maisha yako..ni kama kufananisha kifo na usingizi.

3. kwa uelewa wangu,muanzapo mahusiano hamuanzi kwa kuambiana 'oo nitakuoa''au 'oo nioe'...hell no...kuoa kunakuja kama mmeridhiana,kama mnapatana,je mnaweza kuvumiliana and all that..mi sijaolewa so siwezi kuweka list ndefu hapa...kwahiyo yawezekana Da Pretty hao aliokutana nao huko nyuma (i) hawakuwa na nia ya kuoa na ndo mana mpaka leo hawajaoa (wapo wanaume wa hivyo na ninawafahamu,wao wanajiita senior bachelors)...au (ii) hawakuridhia mpaka kufikishana kuoana and vice versa its true

4. Imeandikwa kuwa 'Mume bora hupewa na Mungu'..kwa hiyo kumshirikisha Mungu kwenye maombi ni jambo la muhimu na busara pia, ingawaje sidhani kama majini sijui mahaba have nothing to do with ndoa

5. Kama usemavyo 'watoto ni hazina'..na hii kumbuka haijalishi kama umeolewa au haujaolewa,hazina ni hazina tu with or without marriage so hata akiamua kuzaa sasa hivi hatojidhalilisha kama ulivyosema (ingawaje jamii itaona amejidhalilisha)

6. Mbona wanawake wa kuoa wengi tuu,kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume iweje wanaume wasione wa kuoa.Mi naona hao wasioona ni kwamba hawako tayari kuoa na kujisingizia hawajaona hawana lolote

Angalizo

Yatupasa tuishi bila kujali jamii inasemaje,jamii inaonaje au jamii itakuchukulia vipi.

Da Pretty, miaka 30 sio mingi, usiharakishe kuolewa kama hauko tayari au kama hajatokea the right person to marry you just because jamii inakuonaje..Waache waulize,waseme, watajijua wenyewe,yao yanawashinda kwa nini wakuulize wewe? Kama ni mama zako,wakalishe kitako waambie bado hauko tayari au hujapata unaedhani anakufaa.kwani tatizo liko wapi hapo? at the end of the day wewe ndio utakayeishi na huyo mume,wacha upate anaefaa bwana hee!!take your time dada,chagua if u have to pembua upate unayemtaka..usiforce mambo kisa watu wanasemaje..wama maisha yao yanawasubiri kuishi ukute yameshawashinda..eboo..achana nao.
 
kwani we unavyojijua una tatizo la kusababisha usiolewe??
kama jibu ni hapana basi wala usijali, kwani huajiwekea mazingira ya kutoolewa.lakini pia faha kua mengine ni mipango ya Mungu.Katika hali kama hyo kua makini manake waweza jikuta unaamua kuolewa tu ilmradi nawe uwe na mme kitu ambacho i hatafi kuklio hata kubakia hivyo ulivyo.
Mwombe mungu kwa imani yako, yeye atakupa tu mke.
 
Habari wanajamvi.
Kwa kweli hilo swali huwa linanisononesha sana.
Nina umri wa miaka 30, sijaolewa, sina mchumba wala mpenzi yapata mwaka na miezi kadhaa sasa.
Mdogo wangu anayenifuatia ana miaka 27 aliolewa akiwa na miaka 24 na ana watoto wawili sasa.
Familia yangu na jamii inayonizunguka hainielewi na mara nyingi nakutana na hilo swali
"Mbona wenzako wanaolewa wewe huolewi, au una tatizo?"
Kiukweli hua napata ugumu sana kujibu hilo swali kwa sababu sina cha kuwajibu.
Labda ningesema nina tatizo au kasoro lakini kati ya niliowahi kuwa nao kimahusiano hakuna alieoa hadi sasa japo wote walinizidi umri na kuna wawili walikua na watoto tayari na mpaka sasa hawajaoa.
Hivi kwa jamii yetu mwanamke kutoolewa ni kasoro?
Maana kuna rafiki yangu naye anapata usumbufu kama wangu kutoka kwa familia yake.
Vipi kama mwanaume ninayempata yeye hana wazo la kuoa nifanyeje?
Na wanaume huwa wanaulizwa na kuonekana wana matatizo kama wanawake?

Go and stay with one of your friend who is not married. Ukitaka Harusi nyeupe unaweza kusubiri sana mpaka Yesu Arudi
 
<p>
Nimerudi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Loly mpenzi, </p>
<p>1. miaka 30 ni mingi ukimaanisha nini?ni wapi imeandikwa mtu aolewe kabla hajafika 30 years?hapo naona umekosea kidogo</p>
<p>watu wanaolewa wakiwa hata na miaka 40 na kupitiliza, binafsi nadhani hakuna umri maalum ambao mwanamke anapaswa awe amekwisha olewa.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>2. kuwa na majamaa ambao wao pia hawajaoa haimaanishi una nuksi...wao wana maisha yao na wewe una maisha yako..ni kama kufananisha kifo na usingizi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>3. kwa uelewa wangu,muanzapo mahusiano hamuanzi kwa kuambiana 'oo nitakuoa''au 'oo nioe'...hell no...kuoa kunakuja kama mmeridhiana,kama mnapatana,je mnaweza kuvumiliana and all that..mi sijaolewa so siwezi kuweka list ndefu hapa...kwahiyo yawezekana Da Pretty hao aliokutana nao huko nyuma (i) hawakuwa na nia ya kuoa na ndo mana mpaka leo hawajaoa (wapo wanaume wa hivyo na ninawafahamu,wao wanajiita senior bachelors)...au (ii) hawakuridhia mpaka kufikishana kuoana and vice versa its true</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>4. Imeandikwa kuwa 'Mume bora hupewa na Mungu'..kwa hiyo kumshirikisha Mungu kwenye maombi ni jambo la muhimu na busara pia, ingawaje sidhani kama majini sijui mahaba have nothing to do with ndoa</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>5. Kama usemavyo 'watoto ni hazina'..na hii kumbuka haijalishi kama umeolewa au haujaolewa,hazina ni hazina tu with or without marriage so hata akiamua kuzaa sasa hivi hatojidhalilisha kama ulivyosema (ingawaje jamii itaona amejidhalilisha)</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>6. Mbona wanawake wa kuoa wengi tuu,kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume iweje wanaume wasione wa kuoa.Mi naona hao wasioona ni kwamba hawako tayari kuoa na kujisingizia hawajaona hawana lolote</p>
<p>&nbsp;</p>
<p><b>Angalizo</b></p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Yatupasa tuishi bila kujali jamii inasemaje,jamii inaonaje au jamii itakuchukulia vipi.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Da Pretty, miaka 30 sio mingi, usiharakishe kuolewa kama hauko tayari au kama hajatokea the right person to marry you just because jamii inakuonaje..Waache waulize,waseme, watajijua wenyewe,yao yanawashinda kwa nini wakuulize wewe? Kama ni mama zako,wakalishe kitako waambie bado hauko tayari au hujapata unaedhani anakufaa.kwani tatizo liko wapi hapo? at the end of the day wewe ndio utakayeishi na huyo mume,wacha upate anaefaa bwana hee!!take your time dada,chagua if u have to pembua upate unayemtaka..usiforce mambo kisa watu wanasemaje..wama maisha yao yanawasubiri kuishi ukute yameshawashinda..eboo..achana nao.
</p>
<p>&nbsp;</p>


kwani wewe una umri zaidi ya dada Prety na hujaolewa? mmh kwa maana...... mnajipa moyo tuu warembo au ninyi ni masista ndio maana?
 
Haya mama..nyie ndio mnaolewa sababu ya kufwata fasheni,eti watanionaje,wengine wanadiriki kulazimishia na hamna rangi wanaacha kuona wakishaolewa,matokeo yake hata mwaka haufiki unaondoka mwenyewe bila kufukuzwa (nimeona yametokea)...THERE IS A RIGHT TIME FOR EVERYTHING my dear hapo alipo ni Mungu tu ndo anajua amempangia lini kuolewa ndo maana anatakiwa amshirikishe Mungu wake katika hili.
 
.....

Nina umri wa miaka 30, sijaolewa, sina mchumba wala mpenzi yapata mwaka na miezi kadhaa sasa.
..........
..........

Labda ningesema nina tatizo au kasoro lakini kati ya niliowahi kuwa nao kimahusiano hakuna alieoa hadi sasa japo wote walinizidi umri na kuna wawili walikua na watoto tayari na mpaka sasa hawajaoa...
...

Unayo kasoro kubwa sana na unahitaji msaada wa ki-roho haraka sana...

Hiyo sentensi yenye boldface/underline inaacha maswali mengi sana kuhusu wewe ni mwanamke wa type ipi?
 
Nimerudi.

Loly mpenzi,
1. miaka 30 ni mingi ukimaanisha nini?ni wapi imeandikwa mtu aolewe kabla hajafika 30 years?hapo naona umekosea kidogo
watu wanaolewa wakiwa hata na miaka 40 na kupitiliza, binafsi nadhani hakuna umri maalum ambao mwanamke anapaswa awe amekwisha olewa.

2. kuwa na majamaa ambao wao pia hawajaoa haimaanishi una nuksi...wao wana maisha yao na wewe una maisha yako..ni kama kufananisha kifo na usingizi.

3. kwa uelewa wangu,muanzapo mahusiano hamuanzi kwa kuambiana 'oo nitakuoa''au 'oo nioe'...hell no...kuoa kunakuja kama mmeridhiana,kama mnapatana,je mnaweza kuvumiliana and all that..mi sijaolewa so siwezi kuweka list ndefu hapa...kwahiyo yawezekana Da Pretty hao aliokutana nao huko nyuma (i) hawakuwa na nia ya kuoa na ndo mana mpaka leo hawajaoa (wapo wanaume wa hivyo na ninawafahamu,wao wanajiita senior bachelors)...au (ii) hawakuridhia mpaka kufikishana kuoana and vice versa its true

4. Imeandikwa kuwa 'Mume bora hupewa na Mungu'..kwa hiyo kumshirikisha Mungu kwenye maombi ni jambo la muhimu na busara pia, ingawaje sidhani kama majini sijui mahaba have nothing to do with ndoa

5. Kama usemavyo 'watoto ni hazina'..na hii kumbuka haijalishi kama umeolewa au haujaolewa,hazina ni hazina tu with or without marriage so hata akiamua kuzaa sasa hivi hatojidhalilisha kama ulivyosema (ingawaje jamii itaona amejidhalilisha)

6. Mbona wanawake wa kuoa wengi tuu,kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume iweje wanaume wasione wa kuoa.Mi naona hao wasioona ni kwamba hawako tayari kuoa na kujisingizia hawajaona hawana lolote

Angalizo

Yatupasa tuishi bila kujali jamii inasemaje,jamii inaonaje au jamii itakuchukulia vipi.

Da Pretty, miaka 30 sio mingi, usiharakishe kuolewa kama hauko tayari au kama hajatokea the right person to marry you just because jamii inakuonaje..Waache waulize,waseme, watajijua wenyewe,yao yanawashinda kwa nini wakuulize wewe? Kama ni mama zako,wakalishe kitako waambie bado hauko tayari au hujapata unaedhani anakufaa.kwani tatizo liko wapi hapo? at the end of the day wewe ndio utakayeishi na huyo mume,wacha upate anaefaa bwana hee!!take your time dada,chagua if u have to pembua upate unayemtaka..usiforce mambo kisa watu wanasemaje..wama maisha yao yanawasubiri kuishi ukute yameshawashinda..eboo..achana nao.

Sinior bachelors bongo au wapi? Ni kweli najua mume mwema utapewa na Bwana ila na wewe inabidi u-play ur part. Huwezi kuwa umejiachia bila kuangalia mienendo yako na kusali utegemee Mungu afanye miujiza. Ni vema pia kuangalia ni kwa nini mausiano yako ya mwanzo hayaku-work out mpaka hapo ulipo. Yawezekana na D Pretty wewe ulichangia kwa njia moja ama nyingine kufanya yasiendelee mpaka hao BFs zako kutangaza ndoa. Ni vema ukatumia expirience ya nyuma kama guide kwa mahusiano yako ya sasa.

Unaweza kusema Da pretty asiitazame jamii inasemaje katika yeye kuolewa ila huwezi kuishi kinyume na matalajio ya jamii, unaweza ndiyo ila utaonekana wa ajabu ndo maana kuna mambo ya culture. Ndo maana kwa mdada ukifikisha miaka zaidi ya 35 hujaolewa watu wanashangaa kwa nini hujaolewa. Kwa wenzetu in Western countries ni kawaida kuona watu wanaowana mwanamke ana zaidi hata ya miaka 40.Kwao ndoa siyo big deal ndo maana kuachana nako ni kama kwenda haja ndongo. Kwa jamii nyingi za kiafrica mdada utaonekana umechelea ukifikisha miaka zaidi ya 30. Kwa wenzetu hiyo miaka bado kabisa. Hii ni kutokana na culture zetu kuwa ukiowa/kuolewa unatalajiwa kuwa na watoto. Watoto ni zawadi toka kwa Mungu Ila jamii inaona ni wa lazima kuwa nao. Usipozaa nako wataanza kukusema kama vile ni uzembe wako kutowapata. Na kadri umri unavyoongozeka na uwezekano wa kuzaa unapungua. Hata kama ukizaa unazaa kwa matatizo ndo maana ndungu zako Da Pretty wanataka uolewe ili uzae mapema.


Siyo wanawake wote ni wa kuolewa dada, kama ilivyo kwa wanaume kuwa si wote ni wanaume wa kuowa na kuitwa baba waa familia. Kuna wengine wadada hawapendi kuolewa kutokana na sababu zao wanazozijuwa. Wengine kutokana na tabia zao inakuwa vigimu kuolewa maana wanaume wa kawaida hawataweza kuishi nao watu wa tabia hizo. Kwa hiyo Wingi wa wanawake haimaanishi wote wanafaa kuitwa wake za watu. Kuna wanaume pia ambao kutokana na tabia zao hawawezi kuitwa baba kutokana na tabia zao. Mpaka wengine mnawaita ''wanaume suluari''. Kwa mwanaume naweza kusema kuoa ni uamzi na kwa wadada kuolewa ni bahati. Kwa maana mwaume ndo anasema nataka kuowa wakati kwa mdada mpaka ajitokeze huyo alie amua kuowa hata kama dada uko tayari kuolewa.

Angalizo;
Da pretty endelea kuomba Mungu maana ndo atakayekupa mume mwema anayekufanana. Jichunguze pia ni lipi lilikuwa tatizo kwenye relation za mwanzo hazikuweza kuendelea mpaka ndoa, na kama kuna tatizo lekebisha tabia na mienendo yako.

Mungu akakupe mume anayekufanana Da pretty endelea kumwomba.
 
Da Prety, kama unataka kuolewa, jiangalie kwenye maeneo haya:
1. Je, una vi nyodo nyodo visivyo na msingi?
2. Kampani yako unayo 'hang out' nayo ni ya aina gani? Masista duu? Mashangingi? Wasela?
3. Unavaaje? Skin tyt/ jeans 24/7? Miniskirt, pedo, boobs nje nje?
4. Lifestyle yako kwa ujumla? Uko ki 'matawi' sana? Mipete ya dhahabu, cheni kubwa, vikuku, hereni 4 kila sikio, bangili za gold nk?
5. Unapendelea kutembelea maeneo gani? Hoteli kubwa kubwa? Club za gharama?
6. Unapenda kujiremba kupita kiasi?
7. Hukumbuki mara ya mwisho kuonekana kanisani/mskitini?
8. Unapenda kuwa na relaionships na 'masharobaro'?
9. 'Uzungu' mwingi?
10. Nakadhalika?
Wanaume wa sku izi wajanja. Hawataki kuoa mtu mwenye unnecessary complications hata awe mzuri kiasi gani! Wanataka mtu presentable ambaye wanaweza kumtambulisha kwa marafiki, ndugu, wazazi n.k
Ukikuta una mojawapo kati ya kasoro hizo jirekebishe haraka. Hapo utajitoa kwenye kundi la 'mademu' na kuingia kwenye 'wife material'
Kuolewa ni heshima dada, japo si lazima but inakupa a deeper purpose in life. Good luck
 
Da Prety, kama unataka kuolewa, jiangalie kwenye maeneo haya:
1. Je, una vi nyodo nyodo visivyo na msingi?
2. Kampani yako unayo 'hang out' nayo ni ya aina gani? Masista duu? Mashangingi? Wasela?
3. Unavaaje? Skin tyt/ jeans 24/7? Miniskirt, pedo, boobs nje nje?
4. Lifestyle yako kwa ujumla? Uko ki 'matawi' sana? Mipete ya dhahabu, cheni kubwa, vikuku, hereni 4 kila sikio, bangili za gold nk?
5. Unapendelea kutembelea maeneo gani? Hoteli kubwa kubwa? Club za gharama?
6. Unapenda kujiremba kupita kiasi?
7. Hukumbuki mara ya mwisho kuonekana kanisani/mskitini?
8. Unapenda kuwa na relaionships na 'masharobaro'?
9. 'Uzungu' mwingi?
10. Nakadhalika?
Wanaume wa sku izi wajanja. Hawataki kuoa mtu mwenye unnecessary complications hata awe mzuri kiasi gani! Wanataka mtu presentable ambaye wanaweza kumtambulisha kwa marafiki, ndugu, wazazi n.k
Ukikuta una mojawapo kati ya kasoro hizo jirekebishe haraka. Hapo utajitoa kwenye kundi la 'mademu' na kuingia kwenye 'wife material'
Kuolewa ni heshima dada, japo si lazima but inakupa a deeper purpose in life. Good luck

kaka hapo umenena kula tano
hata mimi nilitumia vigezo hivyo kumpata niliye nae sasa ingawa alitaka pesa sana nshamrekebisha now katulia
 
Back
Top Bottom