Kwanini hivi jamani...

Sema tu hunaigundua jf ina watu wazima wasiojitambua..
Inatakiwa uwe makin sana.
Siku ukiona umepatana na mtu humu na akaanza kukupa stor za wengne aliokutana nao humu humu huyo mkimbie maana ipo siku hata ww atakusimulia kwingne...
yalishakukuta nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…