nnakuja kukuumbua tu hamna namnaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
nnakuja kukuumbua tu hamna namnaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Salaam jf members
Hivi inakuaje watu wazima wenye familia zao,wanakua wanashindwa kua na busara,hekima na uvumilivu?
Hivi jf hapa ni kama nyumbani kwetu sisi ni wanafamilia moja au majirani tunaoishi pamoja kama ndugu.
Sasa nashangaaa na kupatwa na bumbuazi haswaa nikiona wanajamii moja tunashindwa kustiriana kama ndugu au marafiki wa dhati kwa kweli inaumiza sana na kustaajabisha.
Yaani humu sisi sote ni watu wazima,wasomi na wasio wasomi,lakini leo hii watu wa humu wengine tuna mambo ya ajabu ajabu mpaka yanatia aibu
Kutongozana ni jambo la kawaida sana katika jamii kama hii,lakini sasa humu mwingine akimla 'nyama'msichana basi ndo anajutaa atamtangaza mpaka ajutee..unabaki kua topic tena miaka mia
Mdada nae akitongozwa basi anakuja kumlipua mwanaume wa watu loohh...!!!
Wengine mnawateta watu PM siku mkilipuana mnaumbuana yoootee..
Wengine mnakutana PM,mnapena contacts mnakutana hukoo baadae mnaanza kuwacompare na kuwacontrast kama bidhaa vile
Na wengine msiojijua na kujielewa sasa yaani nyie ndo shida tupu!!ninyi ndo vichaa nashindwa hata kuwaweka kundi lipi...
Unapewa picha ya mtu 'either PM or whasaap'then unaexpose kwa wengine wasiomjua yule mtu..na kuwaambia yule ni nani...!!
Wengine tena wakiwa na mahaba tunajua jf nziima siku wakiachana wanatoleana ya moyoniii yooote looo...
Kuna wengine ni waongo balaaa yaani kusambaza umbea tu usiomhusu na unaomuhusu...
Jamani tuweni na hekima na busara binadamu ni kiumbe mwenye mapungufu lakini sasa yakizidi ni shidaa...
Tuheshimiane sana tukilana,kukimbiana gesti,kukopana tuuchune tu jamani kibingwa kwani shilingi ngapi...hata tukikataliwa pia tujifunze kupiga kimyaa tu...!!
Hata kama ninyi ni wapenzi msijipambanue saana vile maana dah!mkiachana mwingine akapata"goma"lingine humu mnatupa shida sana kunnua bando la kusoma umbea.
Ni hayo tu kwa leo!!!Mengine mtaongezea
sent from motorola bapa and nokia jeneza
mkuu naona umecheka sana ..lakn huo ndio ukweli zaman ilikuwa poa sana..watu wanajadili mambo ya maana na kusaidiana ..kutongoxana kulikuwepo ila heshima ilitawala na hakuna kuvujjisha siri kilofa kama siku hizi..siku hizi mada nyingi zimejaa utoto,kutafuta sifa..uongo nk...
Umenena vema kabisa.mkuu naona umecheka sana ..lakn huo ndio ukweli zaman ilikuwa poa sana..watu wanajadili mambo ya maana na kusaidiana ..kutongoxana kulikuwepo ila heshima ilitawala na hakuna kuvujjisha siri kilofa kama siku hizi..siku hizi mada nyingi zimejaa utoto,kutafuta sifa..uongo nk...
kwa kifupi tumeacha njia ipasayo wengi wanapuyanga tu na wamekaa stress...wachache bado wanajielewa..
tubadilike na asante mleta thread hii maana itawasaidia wengi na kwa wake waloosutana humu na waliofumaniana humu wabadilike...
Mhhhnnakuja kukuumbua tu hamna namnaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hebu acha vituko. Umeamka na upako eti?ahsante
Yaani wewe. Ha ha umenifanya nikapitie piemKweli kila shetani na mbuyu wake...enzi zile nakuja pm kukutongoza unaniringia kumbe kuna wahenga unawafuata mwnyw
Roho imeniuma leo
Mimi najitolea kukuletea ubuyu. Hata nani apige chafya nakuja kukupa ubuyuHalaf mm humu sinaga marafiki wa kuja pm kunipaga hayo mahabari.
Mambo yanayompendeza mungu hamnishirikishi haya mabaya hamnishirikishi
Report button ikiwa wapi? Nitareport mpakamie kwa kweli siku yangu ikifikaaasijui yaani ntavaa pensi ganii
na watu wanasubiriaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Chungu kama mukojo ya punda. Ameze hivyo hivyo.Unaona unavyojidhihirisha ulivyo mbea? Ha ha ha ile siku hawa kufanya makosa kukuchamba. Maana ulikuwa haueleweki unatetea au una shutumu.
Acha kuwa kigeugeu , wewe ni mwanaume kuwa na msimamo.
Si ulikimbia jf ? Ha ha ha kilichokurudisha..
Hii ni chungu meza hivyo hivyo dawa chungu ndiyo huwa inatibu.
Good day
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ebu mtake radhi geni huyo ni mdada tena wa haja mkuuKutokana na mwandiko wa mleta hii mada naimani atakua elton john au anti mudy
Mimi najitolea kukuletea ubuyu. Hata nani apige chafya nakuja kukupa ubuyu
Nimekushindwa ujueHuu Uzi mtamu. Hadi nimeanza kuupitia upya..