Kwanini hivi jamani...

Mkuu kati ya sehemu za kuwa makini ni JF, unaweza kutongozwa hata na mkeo.

Na unapotaka kumfuata mtu pm Kuepusha yote hayo lazima umsome kuanzia siku anapost JF hadi leo...na pm usifike tu ukaanza kujiachia achia kama upo sebuleni kwako
mzee baba una uzowefu wa pm kuliko mzee Asprin
hongera
 
Asante kwa ujumbe. Tatizo siku hizi tumeendelea sana, mambo ya kuchunguzana na kusomana mwezi miezi waliweza wazee wetu, siku hizi ukikonyeza tu wameshakubali, baada ya siku chache kelele kibao, huyu mtu gani, sijui hafai kabisa........
umeona eeehhh...kidigitali zaidi

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
jf ni kijiji fllani kumbe.sikujua atii.
ni zaidi ya kijiji watu wanakutana wanafurahi na kusaidiana pia
hapo kwenye kusambaza umbea nimesikia baridi ghafla .kama nipo vile.maana nikiwa na umbea hakuna nyumba siingii pm huko
kumbe ndo weweee...tatizo sio umbea shida siku ukimchokoza mtu anakuja kumwaga umbea wote humu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
aisee hii hatari ! humu inaonekana kuna mengi sn nyuma ya pazia!yangu macho
 
Na kwanini mmwage hapa jukwaani...kwa nini msitukanane huko mlikokutana...!!!mkishaumbuana nini tena kinafata mnajidhalilisha tu kwa kweli

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 

Utakuwa umelenga jamii kubwa sana ya wana jf. Mataahira, uuuh!!
 
kuna mambo ya kawaida sana kwenye jamii kama kulalana but humu ukimlala mwanamke akikupiga kibuti unamtangaza kwa mabaya

mbona wengine humu tumepigwa vibuti tumevumilia tu
huo ndo uanaume sasaa...ukipata unakulaa tuu

ukikosa unauchuna tuuu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
ni zaidi ya kijiji watu wanakutana wanafurahi na kusaidiana pia

kumbe ndo weweee...tatizo sio umbea shida siku ukimchokoza mtu anakuja kumwaga umbea wote humu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
mimi wananiletea wenyewe umbea pm then nausambaza mimi ni msambazaji tu
 
umeona eeehhh...kidigitali zaidi

sent from motorola bapa and nokia jeneza

Hii digitali inachangamoto si mchezo, wananza kwa siri huko yakiharibika wanapiga kelele watu wote tujue.

yakiharibika wamalizane wenyewe hukohuko kwa siri, wakija huku wakenue meno tu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…