Heche ameonyesha kuwa baada ya Lissu mwenyekiti anayefata ni Heche ili kuyakomoa machoko ya ccmHeshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Ni sawa lakini tunawataka Viongozi wengine hasa ngazi ya Kanda na ikiwezekana ngazi ya Mikoa.Heche amekuwa na upepo kama wa fisi kumradhi si kwa ubaya fisi sehemu yoyote akiunguruma mbwa lazima wabweke tena hovyo hovyo ccm hao
Gentleman,Heshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Amewashika pabayaHeshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
We mlevi maswali gani hayo!?Heshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Sababu zao ni nyepesi sana.Utacheka hoja za chama eti wanamlaumu Heche kwa kutokuleta maendeleo alipokua Diwani wakati wao wanaongoza Nchi nzima pamoja na hilo eneo lakini hakuna kitu wanafanya zaidi ya ufisadi tu.
Ulevi gani? Toa hojaWe mlevi maswali gani hayo!?
Pesa za CHADEMA sio umeeleza vyema vipi kuhusu pesa na kodi ya mlala hoi kama mimi na wewe ,mngewapa ruzuku ingekuwaje???π€Gentleman,
heche ni fisadi wa pesa za chadema,
na ndio maana wanachama wa chadema hawataki tena kukichangia pesa chama chao mpaka heche apigwe chini na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa September 15 π
andikia uzi mahususi jukwaani na itapendeza zaidi gentleman πPesa za CHADEMA sio umeeleza vyema vipi kuhusu pesa na kodi ya mlala hoi kama mimi na wewe ,mngewapa ruzuku ingekuwaje???π€
Ni kwa kuwa naye anawashambulia Wana CCM. Yupo kazini nao wapo kazini, kazi yao ni siasa.Heshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Mti wenye matundaHeshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe.
Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Choko kata viunoandikia uzi mahususi jukwaani na itapendeza zaidi gentleman π
Nenda kakate viuno Kwa makobaz wenzio upigwe mitiWe mlevi maswali gani hayo!?