Kwanini hawatosheki?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Huwa najiuliza sana kuhusiana na hawa mafisadi papa hadi mafisadi dagaa.
Hivi ni kwanini hawatosheki? tatizo ni nini hasa? Maana utakuta mtu kahusika
kwenye wizi wa Epa,meremeta,kiwira,mradi wa vitambulisho,Richimond,Dowans,
Rada,Ndege ya rais,Tikis bandarini, kwenye mikataba feki yote nk. Na bado aki
sikia kuna sehemu nyingine udenda unamtoka mdomoni hadi makarioni! tatizo
ni nini hasa? Watu hao hao utakuta wanamiliki mabiashara ya mabilions of mo
ney ndani na nje ya nchi. Utakuta wanamiliki haridhi kubwa sana,majumba ya ki
fahari zaidi ya 20,mahoteli makubwa makubwa ng'ambo ya nchi na hapa ndani,
magari ya kifahari ya millios of money,maapartiment ya kufa mtu mfano wa kijiji,
watoto wao wanasoma mashule na mavyuo ya kimataifa ya bei ghali,kila benk
utakuta wanamaacount ya pesa yaliyoshiba hadi kumwagika,wanajenga na kunu
nua majumba ya kifahari America,ulaya na mashariki ya kati nk. lakini cha kushangaza pamoja na mali hizo zote bado wanataka kuiba kila siku. Sasa swali langu
ni - kwanini hawatosheki? Hii mali yote wataifanyia nini? watamaliza kabla hawajafa? kwanini wasiitane kikao cha siri na waambiane enough is enough? Jamani hata mungu hawamuogopi? Na sisi akinakajamba nani tutaishi vipi?. Jamani
kwanini hawatosheki hawa watu?. - Nawasilisha wandugu
 
Huwa najiuliza sana kuhusiana na hawa mafisadi papa hadi mafisadi dagaa.
Hivi ni kwanini hawatosheki? tatizo ni nini hasa? Maana utakuta mtu kahusika
kwenye wizi wa Epa,meremeta,kiwira,mradi wa vitambulisho,Richimond,Dowans,
Rada,Ndege ya rais,Tikis bandarini, kwenye mikataba feki yote nk. Na bado aki
sikia kuna sehemu nyingine udenda unamtoka mdomoni hadi makarioni! tatizo
ni nini hasa? Watu hao hao utakuta wanamiliki mabiashara ya mabilions of mo
ney ndani na nje ya nchi. Utakuta wanamiliki haridhi kubwa sana,majumba ya ki
fahari zaidi ya 20,mahoteli makubwa makubwa ng'ambo ya nchi na hapa ndani,
magari ya kifahari ya millios of money,maapartiment ya kufa mtu mfano wa kijiji,
watoto wao wanasoma mashule na mavyuo ya kimataifa ya bei ghali,kila benk
utakuta wanamaacount ya pesa yaliyoshiba hadi kumwagika,wanajenga na kunu
nua majumba ya kifahari America,ulaya na mashariki ya kati nk. lakini cha kushangaza pamoja na mali hizo zote bado wanataka kuiba kila siku. Sasa swali langu
ni - kwanini hawatosheki? Hii mali yote wataifanyia nini? watamaliza kabla hawajafa? kwanini wasiitane kikao cha siri na waambiane enough is enough? Jamani hata mungu hawamuogopi? Na sisi akinakajamba nani tutaishi vipi?. Jamani
kwanini hawatosheki hawa watu?. - Nawasilisha wandugu
Ni nani duniani aliyeweza kuishinda tamaa?Jibu ni hakuna maana kadri mtu unavyozidi kupata kitu unachotamani ndivyo tamaa ya kupata na vingine inapokuja mpaka unaingia kaburini.
 
Ni kama nyama ya mtu shehe, wayao wanasema Ntu, ukila huachi atii.
 
Back
Top Bottom