Kwanini hawa wenzetu wenye asili za kiarabu/kihindi hali zao kimaisha ni tofauti na za kwetu?

Kuna usiri katika style yao ya maisha, hawawezi kukwambia wanaishije
Ni kweli mkuu hawa watu hupenda kutunza siri za maisha yao. Lakini hata hivyo mkuu hii haiwezi ikawa ndiyo sababu kuu ya wao kuwa hivyo walivyo.
 
Hivi kwanini hawa wenzetu wenye asili za kiarabu au kihindi huwa hali zao za kimaisha ni tofauti na za kwetu? Maana wao ndio wengi tunaona wakiwa matajiri na hata wale wenye maisha ya kawaida bado wengi hujiweza kuliko hali za famili zetu sie nyingi zilivyo. 
Hakuna suala la Rangi au kabila kwani Wazungu, Waarabu na Wahindi wako Tanzania tu?

https://m.facebook.com/profile.php?id=329753439256&_rdr

15f89a09e68452e61bc4ba3378e9a5fc.jpg
fe15c4c9c1e5324cfe6b7e0ade3717fa.jpg
c919acc7be7efe96446526df7f3532a1.jpg
 
Sasa wewe unalilia bunge live kazi hufanyi lawama kibao, sukari by inafichwa unadhani tutauweza mziki wa wahindi ambao mda mwingi wako bize na kazi!!?
 
Hata wao kwao kuna waliochoka..
Wengi wanaopata nafadi ya kusafiri wanakuwa wapo vizuri..
Ni sawa na watz wengi wanaosafiri na kuishi nchi zingine nao kwa asilimia kubwa wanakuwa wa kishua
 
Hatuwezi, jifananisha na waarabu,Wengi wao ni waujum uchumi wa nchi hii,na kibaya zaid wamekuwa wakitumia udini kujifanya wasafi, na udini wao waliutumia, kumdanganya mzee Mkwere akawapa vibari mfano wa kusambaza sukari kibar anacho zakaria tu yule ni mhindi,sisi watzd sio wezi hata kidogo, sisi ni watu tunao weza kupata kwa jasho, sio hao mda wte wamevaa baibui wakati ni miujum uchumi wa nchi hii, wa jiulize mijitu iliyoonekana inaiba pesa hapa na kuwekanje mingi ni mihindi na miarabu.
 
Hivi kwanini hawa wenzetu wenye asili za kiarabu au kihindi huwa hali zao za kimaisha ni tofauti na za kwetu? Maana wao ndio wengi tunaona wakiwa matajiri na hata wale wenye maisha ya kawaida bado wengi hujiweza kuliko hali za famili zetu sie nyingi zilivyo. 

Wengi wao wana culture ya kuthubutu kufanya vitu ambavyo 'waswahili' hawawezi, wana nidhamu ya maisha....waswahili hawana nidhamu ya maisha na wala hawawezi kuthubutu kufanya jambo la maendeleo. 'Mswahili' kama amekwenda matembezi na akamwona machinga anatembeza vitu kama mtumba, utamwona 'mswahili' ananunua hata kama alikuwa hajapanga kununua, yaani hana nidhamu ya matumizi na maisha kwa ujumla...'mswahili' akienda baa atawanunulia wengine kwa kuzungusha 'raundi' mradi tu apate sifa...'Mswahili' akichukua mkopo benki badala ya kufanya jambo la maana kiuchumi au la kibiashara yeye anaweza akaoa mke wa pili, au kula vyakula vizuri kila siku au kununua nguo na matumizi mengine ya anasa. Mwanamke wa 'kiswahili' akipata hela za 'vikoba' atafanya mambo ya anasa badala ya kufanyia jambo aliloombea mkopo...'Waswahili' ni wavivu kimiwili na kimawazo...mwenzao akipiga hatua wao wanafanya majungu...'mswahili' mwenzake akianzisha mradi wa chips na awe anapata na yeye ataanzisha mradi wa aina hiyo bila hata kufanya tathimini...'mswahili' akiwa na biashara ya machungwa au nyanya atauza be hiyo mwanzo mwisho hata kama machungwa au nyanya zinaooza kwani hana akili ya kushusha be ili aende kuchukua mzigo mwingine...'waswahili' ni wapenda anasa na sifa...
 
Iddi Amin Nduli alitambua siri yao ndio maana alifanya maamuzi magumu.

Hawa jamaa hawana utu kabisa ni wadhalilishaji na wanyanyasaji wakubwa.

In short ni wadhulumati
 
Hivi kwanini hawa wenzetu wenye asili za kiarabu au kihindi huwa hali zao za kimaisha ni tofauti na za kwetu? Maana wao ndio wengi tunaona wakiwa matajiri na hata wale wenye maisha ya kawaida bado wengi hujiweza kuliko hali za famili zetu sie nyingi zilivyo. 
Huku ulaya wahindi na waarabu ni level ya kawaida sana, wafrika lakini bado ndo hivyo tena.
 
Hatuwezi, jifananisha na waarabu,Wengi wao ni waujum uchumi wa nchi hii,na kibaya zaid wamekuwa wakitumia udini kujifanya wasafi, na udini wao waliutumia, kumdanganya mzee Mkwere akawapa vibari mfano wa kusambaza sukari kibar anacho zakaria tu yule ni mhindi,sisi watzd sio wezi hata kidogo, sisi ni watu tunao weza kupata kwa jasho, sio hao mda wte wamevaa baibui wakati ni miujum uchumi wa nchi hii, wa jiulize mijitu iliyoonekana inaiba pesa hapa na kuwekanje mingi ni mihindi na miarabu.
Mnajua nyie ni wapumbavu sana chuki zenu ndomana hamuendelei...na mswahili akipata atataka dunia nzima imjue
 
Back
Top Bottom