Kwanini haumwelewi dr slaa katika hili???

erick13

Senior Member
Aug 20, 2009
163
59
Dr Slaa anachopigania ni kutaka chadema iendelea na UFISADI kama agenda muhimu.. kwasababu umaarufu wa dr pamoja na chadema umejengwa katika misingi ya kukemea ufisadi na sio kujenga hoja muhimu na kutoa sera.

Ndio maana Dr slaa siasa yake siku zote ni kusema watu kwa chuki, hasira na ubaya tuuu

Na hata yeye mwenyewe alisema kwamba sasa chadema haitakuwa na agenda ya ufisadi kwa sababu LOWASSA kajiunga nao nayeye huwa hapendi kuzungumzia mambo ya ufisadi hadhalani au kumshutumu mtu tena pasipo na ushahidi wowote..

Mbowe yeye hakupenda siasa ya aina hii na ndio maana wakati wa kumtambulisha Lowassa katika kamati kuu alisema hawawezi kuendelea na siasa za chuki na kutisamee pamoja na visasi..

Dr wewe kubali kalata zako hukuchanga vizuri sasa yamekushinda kabisa nenda mwachie LOWASSA anaweza jukumu la kusonga mbele na chadema kuwa mpya ..

Nenda kiroho safi kazi yako imekwisha pamoja na umarufu wako pia.

Dr ni kweli HAUFITI KATIKA SIASA CHADEMA.
 
Kwa jinsi CCM kwa miaka 54 ilivyoifanya Tanzania, hata kama Lowasa angekuwa fisadi, bado tutamchagua tu!
 
Mr.Slaa hana moral authority ya kupigana na ufisadi. Kitendo chake cha "kulazimisha" na kufumua salary structure ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ili yeye Slaa alipwe mshahara na marupurupu yote kama Mbunge ni chembechembe za Ufisadi.

Jambo jingine ni kwamba Slaa anaattack watu badala ya issues. Nguvu kubwa anayotumia sasa kuliko kipindi kingine chochote inaleta mashaka kwamba lengo lake ni ovu
 
Shida ya Slaa nikua muhubili wa ujumbe aina moja amesahau kua injili ina ujumbe mingi tofauti tofauti ajalibu kutuletea basi na agenda zingine sio Richmond always ina boa masikioni sasa coz kila akisimama tunaona huyu atazungumza lowasa richmond slaa be creative your out of public interest
 
Ni heri yule alotoka ndani ya choo kichafu chenye harufu kali ya ufisadi kuliko wale wanaoendelea kuogelea na kujipaka uchafu ule ule akiwa ndani ya choo kile kile wakiwa wanafanya yale yale miaka nenda rudi
 
Dr Slaa anachopigania ni kutaka chadema iendelea na UFISADI kama agenda muhimu.. kwasababu umaarufu wa dr pamoja na chadema umejengwa katika misingi ya kukemea ufisadi na sio kujenga hoja muhimu na kutoa sera.

Ndio maana Dr slaa siasa yake siku zote ni kusema watu kwa chuki, hasira na ubaya tuuu

Na hata yeye mwenyewe alisema kwamba sasa chadema haitakuwa na agenda ya ufisadi kwa sababu LOWASSA kajiunga nao nayeye huwa hapendi kuzungumzia mambo ya ufisadi hadhalani au kumshutumu mtu tena pasipo na ushahidi wowote..

Mbowe yeye hakupenda siasa ya aina hii na ndio maana wakati wa kumtambulisha Lowassa katika kamati kuu alisema hawawezi kuendelea na siasa za chuki na kutisamee pamoja na visasi..

Dr wewe kubali kalata zako hukuchanga vizuri sasa yamekushinda kabisa nenda mwachie LOWASSA anaweza jukumu la kusonga mbele na chadema kuwa mpya ..

Nenda kiroho safi kazi yako imekwisha pamoja na umarufu wako pia.

Dr ni kweli HAUFITI KATIKA SIASA CHADEMA.


Aende akapumzike karatu kwanza kazeeka sana halafu angeupata uraisi huyu 2010 demu wake ndo angekuwa anafanya maamuzi ilo limejionesha wazi
 
Dr Slaa anachopigania ni kutaka chadema iendelea na UFISADI kama agenda muhimu.. kwasababu umaarufu wa dr pamoja na chadema umejengwa katika misingi ya kukemea ufisadi na sio kujenga hoja muhimu na kutoa sera.

Ndio maana Dr slaa siasa yake siku zote ni kusema watu kwa chuki, hasira na ubaya tuuu

Na hata yeye mwenyewe alisema kwamba sasa chadema haitakuwa na agenda ya ufisadi kwa sababu LOWASSA kajiunga nao nayeye huwa hapendi kuzungumzia mambo ya ufisadi hadhalani au kumshutumu mtu tena pasipo na ushahidi wowote..

Mbowe yeye hakupenda siasa ya aina hii na ndio maana wakati wa kumtambulisha Lowassa katika kamati kuu alisema hawawezi kuendelea na siasa za chuki na kutisamee pamoja na visasi..

Dr wewe kubali kalata zako hukuchanga vizuri sasa yamekushinda kabisa nenda mwachie LOWASSA anaweza jukumu la kusonga mbele na chadema kuwa mpya ..

Nenda kiroho safi kazi yako imekwisha pamoja na umarufu wako pia.

Dr ni kweli HAUFITI KATIKA SIASA CHADEMA.

Ni kweli kabisa, Dr. Slaa hakujua siasa za chadema, kitu ambacho alitakiwa kufahamu mapema ni kwamba Mwenyekiti wake ni wa namna gani- angejua kwamba Mbowe kwake pesa ndo muhimu sana, basi asingepoteza muda wake bure, nadhani kilichofanyika chadema ni elimu dogo ya mwenyekiti wao kuwalaghai wasomi wengi ndani ya chadema, na wasomi wote wameonekana kuwa elimu zao hawajazitumia vyema au pesa ndo imekuwa nambari one.

Kwa mtu mwenye akili timamu na anaye ipenda nchi yake, ukizingatia rushwa na ufisadi umekuthiri nchini, ulikuwa ni wakati wa kupata kiongozi wa kuondoa ujinga huo angalau hata kupunguza kwa kiasi, leo hii mnatafuta kiongozi fisadi mwenye pesa nyingi sana2 eti ili kuiondoa ccm madarakani, alafu baada ya hapo? Rushwa na ufisadi utakuwa umewekwa wapi? na hizo fedha za fisadi ambazo watu wachache ndani ya UKAWA ndo neema kwao, baada ta fisadi kushika nchi je hizo fedha zake atazirudisha vipi? Watwambie ili tujipange namna ya kurudisha hizo fedha, kwa wasomi waliomo ndani ya UKAWA siamini kama hawakulifahamu hili, ila kilchofanyika mimi na wewe hatujui, lakini hisia tunazo kwamba nn kinaendelea, leo hii chadema haizungumzii ufisadi wala rushwa du nchi imekwisha, nchi hii nimegundua wapinzani ni Dr. Slaa, Prof. Lipumba na Mchg. Mtikila.

Kama hawajakabidhiwa nchi wameanza dili mapema, je wakipewa itakuwaje? hivyo visima vya gesi watagawana vyote na wataweka mikataba migumu sana ambayo hutaweza kuihoji hata siku moja. Hofu yangu ni kitu kimoja, Tundu Lisu na wenzake watueleze kwa kina wakati wanamtangaza Lowasa ni mwizi na fisadi sugu walikuwa wamelewa viroba au walikuwa wanawaada watz? kwanini hawasemi majukwaan, au kwa sababu wanatambua kuwa watz walio wengi huwa wanadanganywa na kukubali bila shida yoyote ile, ila si wote tutakuwa wajinga kiasi hicho. Poleni kwa ambao bado hamjawaelewa hawa viongozi wa UKAWA na ajenda yao kwa mstakabali wa nchi hii.
 
Kila kitu kina wakati wake sasa ni wakati wa kuitoa ccm na baada ya hapo kazi ya ufisadi itaanza upya kupitia bunge. Ni vyema docta akahifadhi nondo zake hadi kipindi cha bunge.
 
Ni kweli kabisa, Dr. Slaa hakujua siasa za chadema, kitu ambacho alitakiwa kufahamu mapema ni kwamba Mwenyekiti wake ni wa namna gani- angejua kwamba Mbowe kwake pesa ndo muhimu sana, basi asingepoteza muda wake bure, nadhani kilichofanyika chadema ni elimu dogo ya mwenyekiti wao kuwalaghai wasomi wengi ndani ya chadema, na wasomi wote wameonekana kuwa elimu zao hawajazitumia vyema au pesa ndo imekuwa nambari one.

Kwa mtu mwenye akili timamu na anaye ipenda nchi yake, ukizingatia rushwa na ufisadi umekuthiri nchini, ulikuwa ni wakati wa kupata kiongozi wa kuondoa ujinga huo angalau hata kupunguza kwa kiasi, leo hii mnatafuta kiongozi fisadi mwenye pesa nyingi sana2 eti ili kuiondoa ccm madarakani, alafu baada ya hapo? Rushwa na ufisadi utakuwa umewekwa wapi? na hizo fedha za fisadi ambazo watu wachache ndani ya UKAWA ndo neema kwao, baada ta fisadi kushika nchi je hizo fedha zake atazirudisha vipi? Watwambie ili tujipange namna ya kurudisha hizo fedha, kwa wasomi waliomo ndani ya UKAWA siamini kama hawakulifahamu hili, ila kilchofanyika mimi na wewe hatujui, lakini hisia tunazo kwamba nn kinaendelea, leo hii chadema haizungumzii ufisadi wala rushwa du nchi imekwisha, nchi hii nimegundua wapinzani ni Dr. Slaa, Prof. Lipumba na Mchg. Mtikila.

Kama hawajakabidhiwa nchi wameanza dili mapema, je wakipewa itakuwaje? hivyo visima vya gesi watagawana vyote na wataweka mikataba migumu sana ambayo hutaweza kuihoji hata siku moja. Hofu yangu ni kitu kimoja, Tundu Lisu na wenzake watueleze kwa kina wakati wanamtangaza Lowasa ni mwizi na fisadi sugu walikuwa wamelewa viroba au walikuwa wanawaada watz? kwanini hawasemi majukwaan, au kwa sababu wanatambua kuwa watz walio wengi huwa wanadanganywa na kukubali bila shida yoyote ile, ila si wote tutakuwa wajinga kiasi hicho. Poleni kwa ambao bado hamjawaelewa hawa viongozi wa UKAWA na ajenda yao kwa mstakabali wa nchi hii.

Unaonekana unaongelea ushabiki tu na u-ccm umekujaa mpaka basi.
kwa taarifa yako na kwa wapotoshaji wenzako kama wewe, Dr. Slaa ndiye aliyemuomba Lowasa ahamie Chadema wala siyo Mbowe kama unavyofikiri. Na ikiwa alijua Lowasa ni fisadi kwanini yeye aliamua kumukaribisha?
Ni wazi kwamba fisadi na mwenye tamaa ya pesa ni Dr. Slaa ambaye alijaribu kumushawishi Mbowe amukubali Lowasa na alipoona Mbowe kabaki na msimamo, akaamua kumuita Askofu Gwajima ili kufanikisha azima yake.

Cha kujiuliza aliahidiwa nini na Lowasa mwanzo? Pili kapewa nini na ccm?
 
Back
Top Bottom