Tanzania tumekuwa nchi ambayo mijadala ya kimaendeleo inafanyika kwenye mitandao tu.
Je tunaogopa nini? Hii mijadala sio ya kisiasa pekee inawezekana mijadala ya mfumo bora wa elimu ya sekondari kwa kizazi hiki, mijadala ya sheria bora na ardhi yetu, mijadala ya ajira.
Uzuri wa demokrasia ni mijadala ya kimaendeleo. Tumekuwa tukibishana sana kwenye makutano, bar, vijiweni na kwenye mitandao lakini sijaona mabishano na mijadala ya wazi ukiacha wakati ule wa katiba mpya popote.
Waandishi wa habari niwape tu mawazo.
Anzisheni kipindi cha TV cha mahojiano mfano unaweza kusema unaalika watu wawili halafu kwa saa moja, unawahoji kama wenyewe wangekuwa na madaraka wangefanya nini kusadia nchi.
Yaani viongozi wanachaguliwa bila hata kujua wenyewe watafanya nini imekuwa ni chama tu!
Je tunaogopa nini? Hii mijadala sio ya kisiasa pekee inawezekana mijadala ya mfumo bora wa elimu ya sekondari kwa kizazi hiki, mijadala ya sheria bora na ardhi yetu, mijadala ya ajira.
Uzuri wa demokrasia ni mijadala ya kimaendeleo. Tumekuwa tukibishana sana kwenye makutano, bar, vijiweni na kwenye mitandao lakini sijaona mabishano na mijadala ya wazi ukiacha wakati ule wa katiba mpya popote.
Waandishi wa habari niwape tu mawazo.
Anzisheni kipindi cha TV cha mahojiano mfano unaweza kusema unaalika watu wawili halafu kwa saa moja, unawahoji kama wenyewe wangekuwa na madaraka wangefanya nini kusadia nchi.
Yaani viongozi wanachaguliwa bila hata kujua wenyewe watafanya nini imekuwa ni chama tu!