Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
-
- #141
Hahahahahah jamani kwan hii ilikuwa movie gan mbona hamsemi tuitafutee?!Niliacha rasmi kuangalia bongo movie pale jini amechomekea kanyoa kiduku akitaka kuvuka barabara anaangalia kushoto kulia
Kama Mukandara alivyokuwa anazuga. Mimi siangalii ila niliipenda moja ya Chausiku ambayo niliiona nikiwa kwenye basi.eti ana tafsiri kichina kweli??, then wakiitwa wakalima wa kichina nchini haendi afadhali tuangalie hivi hivi tusidanganyane kabisa
Kauliza tu,hajamlazimisha mtu, yy anasema mbona zipo vizuri, nunueni basi.Kama uliangalia wewe ni wewe kwani kuna sheria inatulazimisha tuangaloe bongo muvi au ndo umezijua leo kwa shemeji yako!?
Ahsante Shemeji.Aya shemeji
njoo huku Swali: Diamond Platnums & Wema Sepetu Wanafanya nini Tanzania?!..Ahsante Shemeji.
hahahahahaaSABABU HIZI HAPA!!!!
- Jini Anaangalia Kulia Na Kushoto Ili Avuke Barabara
- Mlinzi Wa Geti Lazima Awe Chizi Au Mchekeshaji
- Jambazi Akivamia Anavua Viatu
- Jambazi Lazima Avae Koti Jeusi Na Miwani Ya Jua Muda Wote
- Kuweka Sumu Kwenye Chakula Na Kuonja
- Siku Zote Mtoto Wa Tajiri Anampenda Masikini
Hahahahaha hata sijuiHivi ile juhudi ya Bashite ya kutulazimishq tuangalie ilifikia wapi?
Bado, ulinunua au?Baada ya kilio chanu cha muda mrefu nilichokisikia huku JF kuhusu watu kukataa kuangalia Bongo Movie nimeona niulize Swali hili:
Jamani watanzania wenzetu kwanini hamuangalii bongo movies?
January niliingia mtaa wa Kariakoo pale opposite na kanisa la Lutheran Kariakoo nikaona fremu kibao movie za kichina na bongo movies nikasogea nikaona nikusanye bongo movies zone za mapenzi kwasababu ndio field yangu.
Kuja kucheki mbona bongo movie nzuri jamani wasichana wanajitahidi mikiss kibao yani bongo kama Ulaya vile.
JB anajitahidi na Ray movie zao kwenye ma feelings wapo vizuri.
Akina kajala na Raima sijui Wolper sijui Sepenga yeleuwi watanzania kwanini hamuangalii bongo movie
Kusema ukweli movie za kichina ukishanitafsiria unanikata stimu kabisa nampa pongezi anayetafsiri movie za kichina kuwa kiswahili mimi nikiona tu natafsiriwa nalala au nahamia DSTV sasa sijawahi kuwaelewa wale wanaongia mtaani kulipia movie ya kutafsiri.
JAMANI KWANINI HAMUANGALII BONGO MOVIE HASA ZA MAPENZI?
Doh ni sheedah
Sasa unawasaidiaje watunzi na watengenezaji wa bongo movie?!
sab Ngosha jr Ngosha Mashine Barn drugtest
hahahahahaAkuna kitu apo si bora ao wasanii wako waokote vyupa
ahahahahaha uuuwi jaman mwanzo mgumuuuUnasemea hizi movies wanazo shoot na Camera utadhani ya Tecno W4?
mwanzo mgumu ndugu watajirekebishaaaTatizo kubwa la watanzania wengi wetu ni wajinga. Kushabikia bongo movie na hata hizi zakuelezewa mana sikutafsiriwa ni ujinga mkubwa.
Ila bongo movie tatizo la kwenza lipo kwenye camera, unashindwa hata na kuvutika na movie. Na film makers ni wabovu sana kiasi ambacho naamini mtu yoyote anaweza kutengeneza movie kama hizi wanazozitengeneza.
Wajitahidi kubadilika sana tena. Problem kubwa linalowasumbua ni hawapo kama ni ma Artist wapo kihuni na kishangwe zaidi. wanatumia kama ndio nafasi ya kupatia mademu na wengine ndio nafasi ya kupatia kujiuza (ukahaba) kwa standard nzuri.
nimeku-ignoreBado, ulinunua au?
hahahaha mbona queen latifa alikuwa actor na producer acheni ujinga bwana yote yanawezekanahaiwezekani ..mtu mmoja akawa director, producer, sterling , sijui nini.....haiwezekani
ahahahahaha uuuwi nimecheka mpaka mgonjwa kamwita nurse namsumbua aki nyie mtaniuuuaaabongo muvi pasua kichwa Mkuu si unaona hapo jini linapiga simu nani anakubali utoto huu maana hata watoto wenyewe hawaangalii wahisi wanaonekana kama mimba.