Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,449
- 10,761
Huyu Mwamba ni ng'ombe aliyechangamka. Hana lolote. Ni kitoweo tu kwa simba.Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.
Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.
Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.View attachment 2584899
Nadhani kutunza jamaa yako ni kazi kweli kweli kiasi cha kuweza kutumia kuliko anachoweza kuzalisha. Si huyo tu. Iko wapi zoo ya twiga, tembo au fisi?Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.
Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.
Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.View attachment 2584899
Kwa hio nyati wa Serengeti ni species hio hio iliyoko kwa kanjibai?India Nyati wanafungwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani ns kukokota mikokoteni ya mizigo
Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni
India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako
Sura yake tu inasema yoteMtata sana huyu
Ova
🤣Jichanganye
🤣🤣Huyo hafai. Waulize wamasai wa Ngorongoro wanajua shughuli yake. Ni maarufu sana kwa kujeruhi masai
🤣🤣🤣Kama nyati hawezekani si wachukue ndugu yake nyumbu? Nyumbu ni mpole hana makeke
Wataalamu waje watusaidie hilo je nyati wa India ni tofauti na nyati wa Tanzania ? Kiasi kuwa kule India waweza fugika majumbani?Kwa hio nyati wa Serengeti ni species hio hio iliyoko kwa kanjibai?
brother una Jina Kubwa ila sasa dah...
Nimeshangaa sana wale Nyati wa India hata hapa bongo wapo Nyerere alipewa, wapo Mpwapwa. Ila sio huyu Nyati mwehu wa mapori yetu ama yale mapori ya Kluger ya Afrika ya kusini.Kwa hio nyati wa Serengeti ni species hio hio iliyoko kwa kanjibai?
brother una Jina Kubwa ila sasa dah...