LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Mimi kura yangu kwa tundu tu...ashinde asishinde
Tena Rais Dkt. Magufuli 'anaipenda' Simba Sports Club kuliko vile ambavyo unadhani Mkuu. Na hata 'Mkewe' nae ni 'Mnyama' Mwenzetu vile vile.Niko na wewe Genta,100 kwa 100,tena mnyama mwenzetu haa haa
Nawaonea huruma waalimu walio kufundisha...walipoteza muda kweli1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda Majungu na Umbea
5. Ni mwenye Misimamo mikali yenye Tija ya Kimaendeleo kwa nchi na taifa
6. Penye Ubabe anauonyesha na kuutumia kweli na kwenye Huruma hudhihirisha Kivitendo
7. Ametukomesha tuliozoea Maisha ya Kiujanjaujanja na Kifisadi kwa Kuiziba Mirija yote na pia ni Simba Sports Club Mwenzangu
Ni matumaini yangu hasa Wapiga Kura wote 29,188,347 katika Vituo vyote vya Kupigia Kura 80,155 Nchini tutampigia Ndugu Dk. John Magufuli tu.
Mimi nawaonea sana 'Huruma' wale 'Waliokuzaa' kwani wamejisababishia 'Matatizo' na hasa kwa Kutuletea 'Juha' Mwandamizi kama Wewe nchini.Nawaonea huruma waalimu walio kufundisha...walipoteza muda kweli