Kwanini Gavana Prof Ndulu anapaswa kujiuzulu?

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,762
12,681
Nianze kwa kumshukuru Prof Ndulu kwa kazi
yakulitumikia taifa ila pia nimshauri kama ni msomi mzuri na nimuungwana basi mim ningeona bora ajiuzulu kwa usalama na heshima kwa taifa lake.
1. Ktk kipindi chake Bot haijamsaidia masikin wa chini ktk kuipa pesa ktk njia zilizo nzuri na kuleta tija nakutengeneza ajira za kudumu ila ameleta mpesa jambo ambalo hata nchi zimeendelea hawana.
2. Mpesa ni aina nyingine ambayo ilipo kuja ilidhaniwa ingesaidia upatikanaj wa pesa ila wakat ikirahisisha wana nchi wamekuwa wakipata hasara ambazo weng wao wanaona Bot ni chanz cha yote haya. Mpesa imepunguza mitaji ya bank jambo ktk siku za uson ma bank meng yaweza kufa kwa ufisadi wa mpesa.
3. Ufisadi wakutisha ktk kipindi chako nalo ni tatizo, yapo ma bank yanafanya ndivyo sivyo nakulisababishia taifa hasara kubwa, wakati chombo chetu Bot kipo na wewe upo je huwoni umechafuka mkuu wangu?
4. Uwepo wa majina hewa na madeni hewa ktk jambo lisilo ingia akilin ni jinsi hewa inakuwepo Ktk Bot!
5. Kama mtaalam wa maswala yakifedha ktk kipindi chako Tzs imeshuka thaman wakat usd ikishika kasi, je huwon umeshindwa kazi? Pia hili linazuwa mashaka makubwa ikiwa umzalendo au kibaraka wa imf na world bank.
6. Ushindani usio fuwata vigezo vya Bot kwenye ma bank ya biashara, hili ni jipu inajulikana ndani ya taasisi yako mabank hayapati fursa sawa wakati yote yanatoa ajira kwa wa tz, jambo linadumaza ushindani ktk secta za mabank hasa ktk upande interest na fx. Nasitaki kuamin ujuwi.
7. Mfumuko wa bank za biashara usio endana na mzunguko wa pesa na uchumi nalo ni jibu. Fbmi nimfano wajipu ktk ku screen bank kabla yakupewa vibali.
8. Utoroshaji wa pesa? Mh prof Jiuzulu nakuomba wala usisubir tumbuliwa
9. Matumizi ya usd ndan ya tanzania na bot mpo? Majanga?
10. Main account za wawekezaji kufunguliwa nje ya nchi nakufanyika collection nje wakat taifa linakosa trilion of money as tax ktk utalia. Mzee achia ngazi.
 
helo la kutorishwa pesa za kigeni ndo linauwa sana thamani sh yetu .kuelekea 2015 rostam aliuza hisa zake voda akapat 300m Usd ,akamgawia mengi salio lake zikasafirishwa nje ya nchi shilingi ikaachwa hapo ikijikongija BOT , ipo tu hata kodi haikukatwa
halafu haO WAKUREGENZI wa bot ndo wenye MABEURAL EXCHANGE hapo kariako na poster sidhani kama watapata uvhungu na thaman ya hela yetu kuendelea kushuka thamani
 
Nianze kwa kumshukuru Prof Ndulu kwa kazi
yakulitumikia taifa ila pia nimshauri kama ni msomi mzuri na nimuungwana basi mim ningeona bora ajiuzulu kwa usalama na heshima kwa taifa lake.
1. Ktk kipindi chake Bot haijamsaidia masikin wa chini ktk kuipa pesa ktk njia zilizo nzuri na kuleta tija nakutengeneza ajira za kudumu ila ameleta mpesa jambo ambalo hata nchi zimeendelea hawana.
2. Mpesa ni aina nyingine ambayo ilipo kuja ilidhaniwa ingesaidia upatikanaj wa pesa ila wakat ikirahisisha wana nchi wamekuwa wakipata hasara ambazo weng wao wanaona Bot ni chanz cha yote haya. Mpesa imepunguza mitaji ya bank jambo ktk siku za uson ma bank meng yaweza kufa kwa ufisadi wa mpesa.
3. Ufisadi wakutisha ktk kipindi chako nalo ni tatizo, yapo ma bank yanafanya ndivyo sivyo nakulisababishia taifa hasara kubwa, wakati chombo chetu Bot kipo na wewe upo je huwoni umechafuka mkuu wangu?
4. Uwepo wa majina hewa na madeni hewa ktk jambo lisilo ingia akilin ni jinsi hewa inakuwepo Ktk Bot!
5. Kama mtaalam wa maswala yakifedha ktk kipindi chako Tzs imeshuka thaman wakat usd ikishika kasi, je huwon umeshindwa kazi? Pia hili linazuwa mashaka makubwa ikiwa umzalendo au kibaraka wa imf na world bank.
6. Ushindani usio fuwata vigezo vya Bot kwenye ma bank ya biashara, hili ni jipu inajulikana ndani ya taasisi yako mabank hayapati fursa sawa wakati yote yanatoa ajira kwa wa tz, jambo linadumaza ushindani ktk secta za mabank hasa ktk upande interest na fx. Nasitaki kuamin ujuwi.
7. Mfumuko wa bank za biashara usio endana na mzunguko wa pesa na uchumi nalo ni jibu. Fbmi nimfano wajipu ktk ku screen bank kabla yakupewa vibali.
8. Utoroshaji wa pesa? Mh prof Jiuzulu nakuomba wala usisubir tumbuliwa
9. Matumizi ya usd ndan ya tanzania na bot mpo? Majanga?
10. Main account za wawekezaji kufunguliwa nje ya nchi nakufanyika collection nje wakat taifa linakosa trilion of money as tax ktk utalia. Mzee achia ngazi.
mkuu alishauri ajiuzulu
 
Ha haaa haa kweli hii nchi sasa imekuwa nchi ya vipofu
Chongo ndo mfalme

Yaani badala ya kumshauri Magufuli amteue Benno Ndulu kuwa waziri wa Fedha
unaleta thread ya kushauri ajiuzulu?

wewe unajua nini kuhusu uchumi?
au unafikiri kila mtu aseme 'ndio mzee' ndo anafaa?

Ndulu ni zaidi ya Governor ....kama siyo yeye inflation ingekuwa haishikiki kwa maamuzi ya wanasiasa
anajua uchumi kuliko wengi now serikalini
hana uoga ,anaongea ukweli

Biashara hazitaki kupkea order tu za kisiasa

Magufuli anapaswa kumpa wizara ya fedha Ndulu.....soon
 
Ha haaa haa kweli hii nchi sasa imekuwa nchi ya vipofu
Chongo ndo mfalme

Yaani badala ya kumshauri Magufuli amteue Benno Ndulu kuwa waziri wa Fedha
unaleta thread ya kushauri ajiuzulu?

wewe unajua nini kuhusu uchumi?
au unafikiri kila mtu aseme 'ndio mzee' ndo anafaa?

Ndulu ni zaidi ya Governor ....kama siyo yeye inflation ingekuwa haishikiki kwa maamuzi ya wanasiasa
anajua uchumi kuliko wengi now serikalini
hana uoga ,anaongea ukweli

Biashara hazitaki kupkea order tu za kisiasa

Magufuli anapaswa kumpa wizara ya fedha Ndulu.....soon
Duh..Mimi siyo Mchumi..So mnatuchanganya sana ..Na currently inaonekana kuna mkakati wa Kumg`oa Bwana Ndulu..... Lets see
 
Wakurugenzi wa BOT ndio wamiliki wa Beural change! Unategemea kutakuwa na mabadiliko? Dollar zote BOT wanapeleka kwenye Mabeural yao. Ajiudhulu tu
 
Mi sijui tatizo ni nini hapa, kama TRA wamekosea au Prof kakosea...si hoja we nenda weka pesa yako benki na utajua maana yake maana makosa yao si hoja kama VAT inalipwa.
 
Prof. Ndulu kawaumbua Magamba. Usanii wao kwa watanzania umefahamika. Hawajui ni yupi anatakiwa kulipa kodi ya VAT. Je, ni mteja ama ni benki. Kazi pekee ya wabunge wa umagambani ni kuitikia "Ndiyooooooo"
 
Prof. Ndulu kawaumbua Magamba. Usanii wao kwa watanzania umefahamika. Hawajui ni yupi anatakiwa kulipa kodi ya VAT. Je, ni mteja ama ni benki. Kazi pekee ya wabunge wa umagambani ni kuitikia "Ndiyooooooo"

mkuu hata kama ndulu yupo sahihi kwenye VAT , lakini mbona kuna mambo mengi sana ya hovyo yamefanywa hapo
akiwa gavana ikiwa ni pamoja na utakatishaji wa fedha ,kwenye mabenk , watumishi hewa kwenye taasis nyeti kama hiyo , kutoimarika kwa shilingi kutoka 1100 jadi 2200 yeye pamoja na kupewa nyuma nzuri yenye swiming pool, mshahara mnono lakini bado wapi
hivi kunaaja ya kuendelea na huyo jamaa
 
Ha haaa haa kweli hii nchi sasa imekuwa nchi ya vipofu
Chongo ndo mfalme

Yaani badala ya kumshauri Magufuli amteue Benno Ndulu kuwa waziri wa Fedha
unaleta thread ya kushauri ajiuzulu?

wewe unajua nini kuhusu uchumi?
au unafikiri kila mtu aseme 'ndio mzee' ndo anafaa?

Ndulu ni zaidi ya Governor ....kama siyo yeye inflation ingekuwa haishikiki kwa maamuzi ya wanasiasa
anajua uchumi kuliko wengi now serikalini
hana uoga ,anaongea ukweli[/QUOTEmkuu upo sahihi, lakini waziri wa fedhasi zaidi ya governor waziri wa fedha atasubiri sana kwa ndulu. cheo cha kisiasa ni tofauti na profession. JPM anaweza amka asubuhi akamtimua mpango lakini hawezi amka asubuhi akamtimua beno ndulu. that is an IMF figure powered by the world bank. Rais tu ndo cheo cha kisiasa kinachoweza kuwa juu ya profession za watu ingawa bado wapo wanaozidi hata mshahara wa rais
 
Anyway kwa sasa wote hawa wawili ni magwiji wa fani ya uchumi...wote wakiwa wameshawahi kuwa washauri wa Benki ya dunia kwa namna moja au nyingine na wote wakiwa na exposure kubwa tu kwa masuala ya fedha na biashara za kimataifa. Sijui aliyemalizia uwaziri wa fedha siku hizi ana cheo gani...maana walipolinganisha hapa jamvini CV za waziri wa fedha wa Kenya, Uganda na Rwanda kwetu ilikuwa aibu...jamvini hawakuweka waziri wa fedha kule kwa jirani aliyepona mapinduzi labda kwa vile walijua ni matatizo tu hivyo hawakujisumbua kulinganisha ila huenda kwa CV tungekuwa wa mwisho. Kwa sasa wathubutu tuone!
 
Ha haaa haa kweli hii nchi sasa imekuwa nchi ya vipofu
Chongo ndo mfalme

Yaani badala ya kumshauri Magufuli amteue Benno Ndulu kuwa waziri wa Fedha
unaleta thread ya kushauri ajiuzulu?

wewe unajua nini kuhusu uchumi?
au unafikiri kila mtu aseme 'ndio mzee' ndo anafaa?

Ndulu ni zaidi ya Governor ....kama siyo yeye inflation ingekuwa haishikiki kwa maamuzi ya wanasiasa
anajua uchumi kuliko wengi now serikalini
hana uoga ,anaongea ukweli

Biashara hazitaki kupkea order tu za kisiasa

Magufuli anapaswa kumpa wizara ya fedha Ndulu.....soon
Asiyeelewa hii anahitaji kurudi wnzi ya Nyerere maana alipigana na ujinga na umasikini
 
Ni vizuri Ndulu ajipime kama anafaa kuendeleza BOT maana kipindi chake ndo watu walijibebea pesa kwa masandarusi (rejea escrow). Tunaambiwa kitendo hicho ni kinyume na sheria. Hatujasikia kama bank kuu imechukulia haya mabenki hatua yoyote.
 
Watu wametumwa kumchafua ili wamng'oe
nchi ya ajabu hiii

Kweli kuna madhaifu mengi Lakini tunapaswa kujiuliza walioendekeza mifumo hii mibovu ni kina nani.
Ukweli ni kwamba siasa za nchi hii za chama kimoja kinaadhiri kila kitu.
Hii inasababishwa na hofu ya chama tawala wakidhani labda ni njia sahihi ya kutaka kurudisha imani kwa wananchi.
Hivyo imejikuta ikitoa ahadi na bajeti kubwa isiyo akisi uhalisia sasa madhara yake ndio haya.
 
helo la kutorishwa pesa za kigeni ndo linauwa sana thamani sh yetu .kuelekea 2015 rostam aliuza hisa zake voda akapat 300m Usd ,akamgawia mengi salio lake zikasafirishwa nje ya nchi shilingi ikaachwa hapo ikijikongija BOT , ipo tu hata kodi haikukatwa
halafu haO WAKUREGENZI wa bot ndo wenye MABEURAL EXCHANGE hapo kariako na poster sidhani kama watapata uvhungu na thaman ya hela yetu kuendelea kushuka thamani
Prof. Beno Ndulu hana tatizo ila wenye tatizo ni wale wanaoingiza siasa kwenye uchumi. Beno Ndulu is solid and knowledgeable he doesn't politicise issues but he handles them professionally. That's why he said as per VAT regulation the final consumer in that case a client is the one who is supposed to pay the VAT
 
Ha haaa haa kweli hii nchi sasa imekuwa nchi ya vipofu
Chongo ndo mfalme

Yaani badala ya kumshauri Magufuli amteue Benno Ndulu kuwa waziri wa Fedha
unaleta thread ya kushauri ajiuzulu?

wewe unajua nini kuhusu uchumi?
au unafikiri kila mtu aseme 'ndio mzee' ndo anafaa?

Ndulu ni zaidi ya Governor ....kama siyo yeye inflation ingekuwa haishikiki kwa maamuzi ya wanasiasa
anajua uchumi kuliko wengi now serikalini
hana uoga ,anaongea ukweli

Biashara hazitaki kupkea order tu za kisiasa

Magufuli anapaswa kumpa wizara ya fedha Ndulu.....soon

Anti Intellectual Movements zinazidi kupata nguvu duniani, huku Brexit, huku Trump... Wengine wanataka Governer ajiuzulu kisa hisia hisia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom