Kwanini FUTUHI haipendwi sana, wanakosea wapi?

Kwanini FUTUHI haipendwi sana, wanakosea wapi?

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
29,020
Reaction score
40,830
Habarini Wadau,
Katika kipindi cha comedy ya FUTUHI kinachorushwa na Star TV, ukimuondoa Brother K yule wa mashati Oversize labda na yule Mjaluo, wengine wanaboa sanaa

Nafikiri wana juhudi sana ila hawajui kuingiza.
Kwa muda mfupi tu watu wanaikubali "Jambo na Vijambo" ila FUTUHI chalii.
Mnafikiri kitu gani wanapaswa wafanye ili kuboresha zaidi igizo lao.

Toa ushauri, maoni au mchango wowote wa kuwasaidia waigizaji wa FUTUHI.
 
Japo wapo hovyoo kabisa wanatumia nguvu sana kuchekesha Alf zero.... Hata jinsi ya uongeaji wao Mimi ndo wanachonikeraa ni afadhari waongee kawaida tu lakini jambo liwe na mantiki....sio uongeaji ule hovyoo kabisaa..,
 
Waweke siku/muda tofauti na Alhamis ambako kuna malumbano ya hoja.
 
Japo wapo hovyoo kabisa wanatumia nguvu sana kuchekesha Alf zero.... Hata jinsi ya uongeaji wao Mimi ndo wanachonikeraa ni afadhari waongee kawaida tu lakini jambo liwe na mantiki....sio uongeaji ule hovyoo kabisaa..,
Aisee kumbe wanatuboa wengi
 
Kwani Orijino Comedy na Family Comedy wanapendwa na nani? Comedy inapokosa UBUNIFU inageuka upuuzi usiotazamika. Sijui kwanini hatutaki kujifunza kwa wengine na kuacha kuigana. Tangu wakina Masanja wavume na mtindo ule waliouasisi basi kila mmoja anataka afanye kama vile bila hata ubunifu.
Comedy ni vitu halisi na vitu serious in a joke stuff. Lakini hawa comedians wengi wanafanya vitu visivyo na mantiki yoyote.
 
Back
Top Bottom