Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Wakalime.
Kweli kabisaa utakuta eti mtu anakata Tonge kubwa la ugali alafu anatafuna haraka haraka eti watu wacheke yani mambo ya kitoto kitoto tu na ujinga ujinga.....au kuvaa ligauni mwanaume Alf eti uigize kama mwanamke.....sijui huwa hawatazamani Comedy za wenzao wajifunze baadhi ya mamboKwani Orijino Comedy na Family Comedy wanapendwa na nani? Comedy inapokosa UBUNIFU inageuka upuuzi usiotazamika. Sijui kwanini hatutaki kujifunza kwa wengine na kuacha kuigana. Tangu wakina Masanja wavume na mtindo ule waliouasisi basi kila mmoja anataka afanye kama vile bila hata ubunifu.
Comedy ni vitu halisi na vitu serious in a joke stuff. Lakini hawa comedians wengi wanafanya vitu visivyo na mantiki yoyote.
Kwel kbs yan wamekosa ubunifu kila siku brother k anaigiza suruali inamvuka cjui ndo watu wachekeWanatumia nguvu nyingi kuchekesha mpaka kero. Comedy hawaiwezi
Ni upuuzi kabisa bora kusoma post za MSAGA SUMU unaweza kucheka.....Kweli kabisaa utakuta eti mtu anakata Tonge kubwa la ugali alafu anatafuna haraka haraka eti watu wacheke yani mambo ya kitoto kitoto tu na ujinga ujinga.....au kuvaa ligauni mwanaume Alf eti uigize kama mwanamke.....sijui huwa hawatazamani Comedy za wenzao wajifunze baadhi ya mambo
HILI NI JIBU SAHIHI KABISA.....YALE NI MAIGIZO YA MAJUKWAANI tena ya kuangaliwa na watoto.Wanatumia nguvu nyingi kuchekesha mpaka kero. Comedy hawaiwezi
Habarini Wadau,
Katika kipindi cha comedy ya FUTUHI kinachorushwa na Star TV, ukimuondoa Brother K yule wa mashati Oversize labda na yule Mjaluo, wengine wanaboa sanaa
Nafikiri wana juhudi sana ila hawajui kuingiza.
Kwa muda mfupi tu watu wanaikubali "Jambo na Vijambo" ila FUTUHI chalii.
Mnafikiri kitu gani wanapaswa wafanye ili kuboresha zaidi igizo lao.
mimi nadhani kinacho wa angusha futuhi. ni kituo wanacho rushia kipindi hiko. basi. kituo kime lala dorooo!
Wahaya ndo zaoYule mhaya anaforce fani,hajui kabisa