kelvin complex
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 605
- 580
Fanya yako mkuu, Lowassa sio level zako, pambana ukomboe familia yako. Lowassa has nothing to deals with idiots
Kuiba pesa za watanzania hayo kwani siyo maamuzi magumu?Maamuzi gani magumu aliyoyafanya kwa Tanzania hii?
Kuiba pesa za watanzania hayo kwani siyo maamuzi magumu?
Lowassa ni mwanasiasa makin na mcha mungu ndyo maana wapiga dili wa ccm wanamuohopa,..
Lowassa maana siasa lakini
hakuna hadi dakika you wa kumfanana and labda sokoine tukiacha baba wa taifa .Na ndio maana Amekua tishio. Kukuonyesha to ni pale wabaya wanavyofikiri wamemmaliza kumbe ndio kwanza ankuja upya. Walikata I PM akitoka kwa nguvu ya ajabu Kua mgombea,wakamkata dodoma akaibuka Kua mgombea halali as urais ,wamemchakachua kura ...now watch the space !! Huyo ndio Edward Ngoyai LOWASSA. ..muulize UP anavyoijua nguvu yake hadi kumalizia hazina kwenye mabunduki mabomu na magari ya washa washa kwa kumhigia Laigwanan......mtoa post na wengine kaeni mkao wakula
Jamaa is the biggest looser of our time.. Nadhani ni mtanzania wa kwanza kupata hasara kubwa tangu uhuru