Kwanini Dr. Slaa hapendi kuhudhuria mazishi ya wasanii wetu?

Wanabodi.

Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba michache ya kisiasa ambayo ina maslahi na Chadema.

Dr. Slaa mbona unawatenga wasanii wewe ni kiongozi usijachuguwe misiba ya kuhudhuria wasanii nao ni wapiga kura.

Dr. Slaa jifunze kutoka kwa viongozi wengine kuwa mtu mwenye kujali ubinadamu.

Dr Slaa si mwepesi kwa kiwango hicho, na hatafuti Urais kwa kujipendekeza kwa kuteka misiba.
 
hivi mleta huu uzi hajui kuwa Doctor ni katibu wa chama na si katibu wa misiba kama haitoshi kuhudhuria misiba ni kwa mtu kuwiwa.
 
Jamani tujiulize NYERERE,MWINYI ,na MKAPA walikuwa wanahudhuria misiba hovyo hovyo tu?Kwani siku hizi ikulu kazi zimepungua ukilinganisha na enzi za Nyerere,Mwinyi na Mkapa?Misiba,safari za nje na ndani mara kwa mara,misiba ya GONGOLA MBOTO,TANDALE,MBAGALA NK MBONA HATUMUONI?Natabiri kesho mtahoji mbona SLAA hachezi bao?
 
Jamani mi coni umuhm wa suala hili, kwn mara nyingi misiba mingi wamekuwa wakipewa kampuni za mazishi za hapo dar, hasa kuomboleza kuna namna nying km kutoa mchango, kuhudhuria ama vyote viwili. Lakn ht hao wngn mbn hatujawaona ktny misiba ya watu wengne! Au nao wanahudhuria tu kwny misiba ya walo maarufu tu? Hvyo mi cdhani km hii ni hoja ya mcng sana ya kujdili. Naomba mtoa mada uwataje wanasiasa wote na idadi ya misiba waliyohudhuria then ndo ungetoa mada. Hvhv hatuwezi kukuelewa. Kwn hapa tunaweza kuwataja wat wanahudhuria kumbe ni kwa wasanii tu na kwa wengne hawaendi. Imekaa vibaya sana hii mada yako.
 
ritz umefirisika kimawazo,kwani wasaa wangapi wamekufa hapa tz ha huyu jk hajaudhulia,dhani ya mwezi mwa 11 n1 12 zaidi ya wasaa "maarufu 3" walifaliki ,jk alikwenda au anachagua pa kwenda mbona watu nawauawa napolice haendi kwenye misiba?,au huyu mlopelo na shalo hawakuwa wasanii?mbona huko jk hakwenda,ila ukae ukijia kuwa ni kama kajitia kitanzi,sasa atakwenda hadi kwenye kipaimara na ubatizo wa watoto wa wasanii
 
Jakaya kwa sasa uongozi wake naufanananisha na mtitiriko wa thamani ya noti zetu, 500 sawa na naibu waziri,1000 waziri 2000 sawa na Pinda 5000 makamu rais.
 
Standing to be corrected, kati ya SAJUKI na Michael Jackson ni nani aliyekuwa msanii aliyeiletea nchi yake sifa kamataifa? Hivi Barack Obama alihudhuria mazishi yake? Naomba kukumbushwa.
 
mijitu mingine bana !!!!!sasa misiba ndo umeona jambo muhimu?kama huna mada ya muhimu kuwa msomaji tu haya nikuulize pamoja na JK kuhudhulia misiba ya wasanii kawasaidia nini?mbona kila leo wanalia na kazi zao kuibiwa.
 
dr.slaa siyo msanii.
Ritz, hii kazi yako
ngumu kwa mtu mwenye akili timamu!

BTW, kwa nini wewe unapenda kuhudhuria?

Nadhani Dr. Slaa anapenda huduma za afya ziboreshwe kiasi kwamba hao
wasanii na Watanzania kwa ujumla wao wapate huduma nzuri na bora na
waishi muda mrefu kadiri Mola atakavyo. Naona misiba imekuwa fashion ya
cheap popularity Tanzania.

Sanctity of life is to preserve and cherish one; conversely it is NOT
about attending funerals, dear Ritz.
 
Nadhani Slaa alikuwa kwenye misiba mingine ya walalahoi ambao hawajulikani? Kumbe kwenda kuzika nazo ni kete za kisiasa.Kuhusu kudhuria misiba muulize Malecela ndo anajua gharama ya kujifanya una uchungu na watu waliokufa badala ya kuwa na uchungu na watu walio hai.Unawanyima huduma ili wafe we upate kuonekana kuwa umeenda kuwazika upuuzi mtupu
 
Wanabodi.

Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba michache ya kisiasa ambayo ina maslahi na Chadema.

Dr. Slaa mbona unawatenga wasanii wewe ni kiongozi usijachuguwe misiba ya kuhudhuria wasanii nao ni wapiga kura.

Dr. Slaa jifunze kutoka kwa viongozi wengine kuwa mtu mwenye kujali ubinadamu.
mkuu Ritz "wacha wafu wazike wafu wenzao" hapa namaanisha wacha msanii azike msanii mwenzake... msomi azike msomi mwenzake na ndo maana MKUU wangu wa nchi haudhurii mazishi ya wasomi maana ye hawezi ongea kisomi zaidi ila kwa wasanii ye ni master wa kuongeaa kisanii zaidi...(ahadi fake)
 
Acha vihoja visivyo na mantki we mnoko.
Dr. Slaa kutohudhuria mazishi co kipimo cha kupenda au kutojali watu.
 
Wanabodi.

Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba michache ya kisiasa ambayo ina maslahi na Chadema.

Dr. Slaa mbona unawatenga wasanii wewe ni kiongozi usijachuguwe misiba ya kuhudhuria wasanii nao ni wapiga kura.

Dr. Slaa jifunze kutoka kwa viongozi wengine kuwa mtu mwenye kujali ubinadamu.
Kazi yenu kukusanya misukule. kinyago chako kinaonesha ulivyo mkusanya misukule kwenye misiba anayoenda hudhuria mzee.
 
Wanabodi.

Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba michache ya kisiasa ambayo ina maslahi na Chadema.

Dr. Slaa mbona unawatenga wasanii wewe ni kiongozi usijachuguwe misiba ya kuhudhuria wasanii nao ni wapiga kura.

Dr. Slaa jifunze kutoka kwa viongozi wengine kuwa mtu mwenye kujali ubinadamu.
Kwenye misiba ya wasanii, totoz ni kwa wingi, mzee huwa anahudhuria misiba hiyo bila kukosa kwa ajili ya booking za totoz(mfano kina rey C), na SI VINGINEVYO.
Angekuwa na huruma angewatembelea wagonjwa mahospitalini, nasio kukusanya misukule maziarani kwa ajili ya mashamba ya mananasi kule visogo.
Wewe, huoni kwamba unapenda soga kutokana na asili ya watu wa Soga vijijini.
 
Huyu Rizz ametumwa na CCM nini? mana kazi yake ni kutafuta sababu ya kuwachafua watu walio na moyo wa kuwa saidia watanzania kama Dr. Slaa?
 
Wanabodi.

Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba michache ya kisiasa ambayo ina maslahi na Chadema.

Dr. Slaa mbona unawatenga wasanii wewe ni kiongozi usijachuguwe misiba ya kuhudhuria wasanii nao ni wapiga kura.

Dr. Slaa jifunze kutoka kwa viongozi wengine kuwa mtu mwenye kujali ubinadamu.

Mbowe kamzuia....
 
Back
Top Bottom