Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Yes, kadiri siku zinavyosonga mbele polisi nao, na watu wengine waliopo katika utumishi wa umma, wanaanza kujiona kuwa ni sehemu ya mapambano ya kuleta mabadiliko. Dk Slaa amekuwa akiwaelimisha polisi kila siku kuwa wao nao ni sehemu ya watanzania waliopigika, na wameanza kuielewa hii zana. Na hapa tunaongelea askari wa kawaida ambao ndio wengi na sio hao vibosile ambao ni sehemu ya mfumo tunaoupinga.
Kitila. Mawazo yako bado ni yaleyale?