Kwanini Dr. Slaa anawasifia polisi?

Kwanini Dr. Slaa anawasifia polisi?

Yes, kadiri siku zinavyosonga mbele polisi nao, na watu wengine waliopo katika utumishi wa umma, wanaanza kujiona kuwa ni sehemu ya mapambano ya kuleta mabadiliko. Dk Slaa amekuwa akiwaelimisha polisi kila siku kuwa wao nao ni sehemu ya watanzania waliopigika, na wameanza kuielewa hii zana. Na hapa tunaongelea askari wa kawaida ambao ndio wengi na sio hao vibosile ambao ni sehemu ya mfumo tunaoupinga.

Kitila. Mawazo yako bado ni yaleyale?
 
I regret dr slaa to have been denied presidency in 2010. Hope Nec shall not miscalculate by 2015. We need our president dr slaa!
 
Polisi wengi wanavuta marijuana hasa new comers.
 
Back
Top Bottom