sijaiona hiyo twitt ya Dr.slaa and am following him on twitter
Ni kweli Police nao ni binadamu,wanamoyo ilio hai kama wa kiumbe kingine chochote.Wanafanya hayo kwa kutekeleza order za wakubwa wachache wenye maslahi binafsi na kujipendekeza Rais ili wateuliwe kwenye position za juu.Kumbuka aliyofanyiwa A.Mrema kule Kilimanjaro na maeneo mengine.Kwa mtu ambae una ndugu yako polisi unaweza kuelewa nini anachomaanisha Dr. Slaa
Polisi ni wafuata order na unapokuwa nao sehemu tofauti na "order" utawagundua ni binadamu sawia na wenye kuumia pale wanapolazimika kutekeleza order
Kwa taarifa nilizonazo kwa watu Arusha, wako Polisi wengine ambao waliwasaidia vijana wengi tu wa CHADEMA "kutokea" kwenye njia na pande ambazo hawawezi kukutana na polisi ambao wako chini ya "makamanda watoa order"
Hope next move i wil be front line
Acha justification zako za kitoto katika mambo serious. Huwezi kukusanyika NMC kuilazimisha mahakama kumuachia huru mtuhumiwa aliyekataa dhamana yeye mwenyewe. Hata kama Lema alikubali kutoka nje kwa dhamana, mahakama zina mamlaka zake na mamlaka hizo haziwezi kuvurugwa na mikusanyiko na mikesha ya NMC. Na wala mkusanyiko huo haukuwa na lengo hilo la longitudinal research unayoizungumzia wewe.
Naounga mkono hoja. Dr ni mtu makini sana. naomba atuongoze japo miaka mitano wakati anasindikiza uzee wake ili aache amewafunga wezi wa mali zetu. daima tutamkumbuka kwa kuingoza nchi akiwa nje ya ikulu. hata pinda amekili kuwa hapati usingizi sababu ya CHADEMA anayoiongza DR. Heko Dr Slaa Baba mdogo wa Taifa letu.
Hawa Polisi wadogo nao ni watanzania jamani, unafikiri wanfurahia kupiga watu? Lakini tatizo ni nidhamu ya kijeshi ndiyo inayowaponza. Ukiambiwa piga unatakiwa kupiga kwanza kabla ya kuuliza kwa nini.
Wenye shida na matatizo ni akina Mwema, Chagonja, Sillo, na huyu jamaa wa kanda maalum ya Dar. Hawa wanajitahidi kumpendeza mkuu wa kaya. Lakini wajue iko siku hawa wanaowatuma kupiga raia watageuza hizo bunduki kwao, na hapo ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Nilishasema humu kwamba CDMA wanawalisha sumu wanachama wao. Lolote linalosemwa na kiongozi wa CDMA kuhusu mazuri yanayofanywa na serikali ni kosa, basi mvukuzeni uanachama Dr. SLAA kwa sababu tayari ameshawasaliti katika yale mliokubaliana kupinga kila jambo. SLAA ameshatambua kuwa kuwasingizia polisi ili kujiimarisha kisiasa hakuna maana yoyote na hasa pale anapoona wanaofaidika na siasa za maji taka hizo ni wachache ambao hata yeye anaonekana kukosa nafasi. Tusubiri mengi yatagundulika tu kadri siku zinavyokwenda.Nimeshangazwa na kitendo cha Dr.slaa kulisifia jeshi la polisi kuwa limeanza kuelewa maana ya majukumu yake kwa kutenda haki na kutowapiga wanachadema waliokamatwa kwenye sakata la viwanja vya Arusha. Mimi binafsi naona jeshi ili bado linaendesha ukatili kwa wanchama wa vyama vya upinzani kinyume na usemi wa katibu mkuu wa Chadema.
source:twitter akaunti ya Dr slaa
twitter@drwilbroadslaa
Nilishasema humu kwamba CDMA wanawalisha sumu wanachama wao. Lolote linalosemwa na kiongozi wa CDMA kuhusu mazuri yanayofanywa na serikali ni kosa, basi mvukuzeni uanachama Dr. SLAA kwa sababu tayari ameshawasaliti katika yale mliokubaliana kupinga kila jambo. SLAA ameshatambua kuwa kuwasingizia polisi ili kujiimarisha kisiasa hakuna maana yoyote na hasa pale anapoona wanaofaidika na siasa za maji taka hizo ni wachache ambao hata yeye anaonekana kukosa nafasi. Tusubiri mengi yatagundulika tu kadri siku zinavyokwenda.
kashaanza kuelewa. Nalog off
polepole ndio mwendo wataelewa tu.Nalog off
kazi inaendelea mpaka akina shimbo nao wakielewa kazi imeisha kabisa