MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,029
- 35,151
Hehehe kashikeUnaongelea budget gani mkuu?????. Ile budget ya wabunge wa CCM ni budget hewa. Mkuuu hana tabia ya kufata budget ya bunge. Yeye hufanya anacho amua hata kipind ni wazir pesa za wizara yake zilikuwa zikitumiwa tofaut na bunge lilivyopanga. Sasa kama ndyo amekua mkuu wa nchi ile budget ya CCM ni hewa yeye kila siku atakuwa anakuja na maamuz yake.
UKUTA