WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,357
- 3,114
Duh! Hii kesi imetelekezwa kwa kuangalia kwa jicho la tatu....Sio kwa jicho la KangiZaidi ya mara tatu nimemsikia Lisu akisema jirani yake huko Dodoma Mh. Medard Kalemani ambaye ni mbunge wa Chato hadi leo hajahojiwa kuhusiana na jaribio la kuuwawa kwake.
Lisu na Kalemani nyumba zao zinapakana huko kwenye makaazi ya vingozi Dodoma.
Swali langu kwa nini Lisu anasisitiza sana Mh. Medard Kalemani (mbunge wa Chato) ahojiwe? Je anadhani kuna kitu anajua? Hasa ukitilia maanani cctv camera zilizokuwa kwenye nyumba yao hadi sasa hazijatolewa hadharani?
Sent using Jamii Forums mobile app