Kwanini Diamond hashindi tuzo kwa sasa

Kwanini Diamond hashindi tuzo kwa sasa

Wakati nikiwa kijana mdogo nilikuwa siwezi kuelewa ni kwa nini watu wazima , pamoja naa kuwa na wake wazuri, wanachepuka tena mara nyingi na wawake ambao si wazuri kwa sura kushinda wake zao.

Diamond, pamoja na ubora wake, watu wameshamzoea. Ni ngumu kwake kufanya kitu kipya kinachoweza kuwavutia mashabiki wake na wasio mashabiki wake. Hakuna marefu yasio na.......!
 
haha sii lazima ashinde , kwani yeye ni nani ndio ashinde kila siku?
 
Back
Top Bottom