PHP ndio lugha pendwa alafu ukiweza kuimaster ni tamu sana, Java pia ni tamu sababu PHP & Java OOP inahusika language nyingine ambayo ni tamu ni C#, ukiacha Python ambayo ni lugha rahisi maana Python ni km unaandika kingereza tu sio kwamba ni codes ngumu kiivyoNimeona hata kwenye mitihani ya programming ya recruitment secretariat, maswali ya php ni mengi, kuliko maswali ya programming languages zingine... Ikifuatiwa na java
Ni rahisi zaidiKwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?
Habari wana JF!
Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...
Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM
Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla
Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg
Na nyingine nyingi tu!!
JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.
Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!
Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
CheapKwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?
Habari wana JF!
Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...
Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM
Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla
Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg
Na nyingine nyingi tu!!
JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.
Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!
Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
Python ndio rahisi zaidi kuliko PHPNi rahisi zaidi
Hivi c# inatumikaga wapi maana sio famous kiivyoPython ndio rahisi zaidi kuliko PHP
Hio kwenye kutengeneza POS ndio tamu, sio famous Ila Ina utamu wake ni nzuri km Java tuHivi c# inatumikaga wapi maana sio famous kiivyo
Mkuu 🤔
PoHio kwenye kutengeneza POS ndio tamu, sio famous Ila Ina utamu wake ni nzuri km Java tu
Hio kwenye kutengeneza POS ndio tamu, sio famous Ila Ina utamu wake ni nzuri km Java tu
Hiyo POS ni nn kwani mkuuu sijaelewa badoHio kwenye kutengeneza POS ndio tamu, sio famous Ila Ina utamu wake ni nzuri km Java tu
POSPo
Hiyo POS ni nn kwani mkuuu sijaelewa bado
Na naomba unipe tofauti yake na C au C++
Ok hapo sawa kwaiyo c# ni tofauti kabisa na c++ sioPOS
Point of Sale Systems for Retail, Restaurants, Bar & Salons
C haina tofauti na C++ yaan ni the same utofauti ni kwamba C++ is a superset of C najua umesoma hesabu
Yes C# ni nyingine na ni tamu hio buhahaha coding raha, ukijua lakiniOk hapo sawa kwaiyo c# ni tofauti kabisa na c++ sio
Ok sawa shukranYes C# ni nyingine na ni tamu hio buhahaha coding raha, ukijua lakini
Pamoja sana mkuu wewe umesoma ipi kati ya CSS na HTML?Ok sawa shukran
Ndo naanza hapa html mkuu nimetengeneza tu heading 😂😂😂 na first page ☺️☺️ daaah nipo kindergarten kwenye haya mamboPamoja sana mkuu wewe umesoma ipi kati ya CSS na HTML?
Haya sawa mkuu mwanzo mgumu Ila mwisho utaelewa tu sio kazi kubwa sana kikubwa upende unachofanya,Ndo naanza hapa html mkuu nimetengeneza tu heading 😂😂😂 na first page ☺️☺️ daaah nipo kindergarten kwenye haya mambo
Kweli asee vipi mshiko si unasomasoma sio eehHaya sawa mkuu mwanzo mgumu Ila mwisho utaelewa tu sio kazi kubwa sana kikubwa upende unachofanya,
Hio ni personal matter mkuu, Ila hakuna kazi isiyokua na malipoKweli asee vipi mshiko si unasomasoma sio eeh
Ok sawasawa ipo confidential hiyoHio ni personal matter mkuu, Ila hakuna kazi isiyokua na malipo
Kwenye foil paperOk sawasawa ipo confidential hiyo
Kuna nimeona jana 8.2.2Latest PHP version 7.2
Ni kali, imeboreshwa sana.