Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 719
Umeniharibia siku yangu
Hahahahahaha Cdm ndio mpango mzima. Achaneni na chama cha mtu mmoja.
Umeniharibia siku yangu
Naomba niPM ili tuongee zaidi
Mi mwenyewe mwana ileje kaka kwetu bupigu tusigombane kwa ajili ya vyama tuijenge ileje yetu.
Hivi kwa akili yako ukombozi upo CDM tu? Hujajua bado shindembwa!
Jamani kila siku tunasikia mkutano wa CHADEMA kila kona ya nchi. Mbona sioni mikutano kama hiyo jimbo ya Ileje?.
Nipo hapa Isongole watu tunazidi kutamani kuwaona viongozi wa kitaifa wakihutubia mikutano ya hadhara.
Tunaomba msitusahau katika ukombozi wa taifa letu na sisi ni watanzania kama Tunduma walivyo.
Kwa ujumbe huu naomba mtukumbuke kwa ziara.
Usijari kaka jiandae kupokea uzalendo toka ACT Chama cha wazalendo.
ni mara chache sana kuona post ya kikakamavu na kikamanda kama hii , safi sana mkuu .
uzalendo wa kueneza chuki na udini?
Usilie sasa. Kwani unataka nani aje huko kama hawataki. Wazalendo wanaleta uzalendo sasa hivi.
Kama unawashwa nenda ukakunwe
Jamani kila siku tunasikia mkutano wa CHADEMA kila kona ya nchi. Mbona sioni mikutano kama hiyo jimbo ya Ileje?.
Nipo hapa Isongole watu tunazidi kutamani kuwaona viongozi wa kitaifa wakihutubia mikutano ya hadhara.
Tunaomba msitusahau katika ukombozi wa taifa letu na sisi ni watanzania kama Tunduma walivyo.
Kwa ujumbe huu naomba mtukumbuke kwa ziara.