Kwanini CHADEMA mnatutenga Ileje?

Kwanini CHADEMA mnatutenga Ileje?

Hongereni kwa wana Ileje kuonesha shauku ya kupata Baraka na nasaha za viongozi wakuu wa CDM. Lakini la msingi ni watu gani mwawasimamisha kuwahimili wa vyama vingine? Mfano kuna watu wawili wa CCM huko inasemekana wanakubalika sana Godfrey Msongwe na Janet Mbene kwa Mbunge wa sasa Kibona inasemekana hana chake, Je, kwa makamanda walioonesha nia wapo vizuri kusimama kidete na hao? Ili hata ziara za wakubwa wa CDM ziwe na mantiki.
 
mkuu Standalone hebu fikisha huu ujumbe moja kwa moja kwa Mwenyekiti au katibu mkuu , hiki kilio cha watu wa ileje ni cha muda mrefu sana , hatuwezi kuendelea kuvumilia , unajua bhana kuna maeneo mengine kama ileje majani yamekwisha kauka yanahitaji kiberiti tu ili kuwasha moto .

Mkuu
Dr Mwakyembe hatakiwi Kyela lkn naona sasa mnyukano wa wana CHADEMA wenyewe kwa wenyewe unahatarisha kukigawa chama

Dickson Gogodo Mwaipopo na Mwanyamaki wameanza kurushiana maneno Kyela!
 
Mkuu
Dr Mwakyembe hatakiwi Kyela lkn naona sasa mnyukano wa wana CHADEMA wenyewe kwa wenyewe unahatarisha kukigawa chama

Dickson Gogodo Mwaipopo na Mwanyamaki wameanza kurushiana maneno Kyela!
kumchagua gogodo ni hatari sana ! maana ana uraia wa malawi .ni mtu wangu wa karibu sana i know what is doing in malawi , halafu sikumuona kwenye ujenzi wa cdm kyela , na wala hana uwezo wa kuvuruga cdm kyela .
 
kumchagua gogodo ni hatari sana ! maana ana uraia wa malawi .ni mtu wangu wa karibu sana i know what is doing in malawi , halafu sikumuona kwenye ujenzi wa cdm kyela , na wala hana uwezo wa kuvuruga cdm kyela .

Gogodo "anawekeza" sana sasa kwa wajumbe wa mkutano mkuu!Chunga sana huyu mtu kaka
 
Back
Top Bottom