Kwanini CHADEMA mnachukia tunapohamia NCCR Mageuzi?

Kwanini CHADEMA mnachukia tunapohamia NCCR Mageuzi?

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,744
Reaction score
5,771
Tulipambana sana kukijenga chama lakini kwa fitina na tamaa mbaya mkakiharibu chama chetu. Hii ilikuwa mwaka 2015. Na namna mlivyokiharibu kila mtu anajua.

Kujiunga na chama chochote kile ni haki ya kila mtu kama ilivyowekwa wazi katika ibara ya 20(1) ya Katiba ya JMT.
Tunahamia NCCR Mageuzi sababu ni chama ambacho hata muundo wake hauko kikanda na kikabila. Na tuna uhakika kina misingi ya kuleta udugu ndani ya nchi. Kama awali Dkt. Slaa alijaribu kuunganisha CHADEMA na kuondoa dhana ya ukabila na ukanda, ila mkaletea mizengwe. Hivyo tunapohama tuacheni tutekeleze haki yetu ya kimsingi ambayo imeanishwa na Katiba.
 
Sasa wewe kada wa CCM kwanini uwaongelee wwngine?Kama kuna waliohamia NCCR wamehama kwa matakwa yao,hakuna anayewazuia na ni haki yao!Ajabu ni kwamba CCM ndio mmekuwa wasemaji wa NCCR!
 
Duuh! Watu wanahama dunia sasa ambalo ni Jambo kubwa zaidi watu bado wako na akili za
Vyama, Inashangaza sana..... Nani katuroga?
 
Kuhama kunaanza na mazungumzo ya bei ndiyo maana watu wanaudhika.
 
Back
Top Bottom