Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Yaani mbowe hata aibu hana. Ukabila uko chadema maana sio uchaga tu hadi ni upendeleo wa wamachame. Kuhusu wasukuma kwanza hawa watu ni karibu 1/3 ya raia. Kwa hiyo ukiwaona kila mahali kwa wingi ujue wapo kwenye space ya nchi yao tanzania.
 
Acha uongo some time kuna mapungufu pia kwenye application na ujue kuna vigezo tofauti na gpa pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…