Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,516
- 30,574
Huyu hatakiwi kupumzika kama ingekuwa inawezekana tungekuwa tunapiga ngoma kwenye kaburi lake ili mradi asitulie huko chini.Mnamkosea sana mwendazake! Kutwa kucha mnalia lia, au mnapinga ile sala inayosema raha ya milele umpe ee Bwana?! Mnamsumbua, mwacheni apumzike!