Ndugu zangu Watanzania,habari zenu?natumai wote hamjambo na bila shaka mna ndoto ya kuendelea kusubiri kauli ya CCM ya maisha bora kwa kila Mtanzania itimie!Tuyaache hayo,hebu leo tuangalie ni kwa nini watu wengi wanaipenda CHADEMA?Binafsi nimekua nikiona nyota ya CDM ikipaa na kung'aa kila iitwapo leo!Hebu kwa pamoja tujadili ni kwanini watu wanaipenda CDM,hii itasaidia kuwafanya watu kuwa na sababu kadhaa za kuipenda CDM na hata wengine wenye mioyo ya dhati kwa CCM kuendelea kukipenda na kukijenga chama chao kama sababu za wana CDM zitakuwa dhaifu.Naomba kuwasilisha.
Hiyo Nguvu ni humu JF na Arusha tu.
1. Ugumu wa maisha.
2. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
3. Matumizi makubwa na ya anasa kwa viongozi.
4. Kupeana nafasi za uongozi kishkaji.
5. Ongezeko la wasomi wengi wasio na ajira.
6. Kuchoshwa na Serikali ya kimazoea.
KAMA SERIKALI INGEYAFANYA HAYA:
1. kutoa ajira kwa vijana.
2. Kudhibiti mfumuko wa bei....
CHADEMA INGEKUWA KAMA VYAMA VINGINE VYA KWAIDA SANA..
LAKINI PAMOJA NA KUSHABIKIA CHADEMA JE , WANACHAMA WAKE WANAJUA CHAMA CHAO KITAWAFIKISHAJE PALE WANAPOTAKA??
1. Ugumu wa maisha.
2. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
3. Matumizi makubwa na ya anasa kwa viongozi.
4. Kupeana nafasi za uongozi kishkaji.
5. Ongezeko la wasomi wengi wasio na ajira.
6. Kuchoshwa na Serikali ya kimazoea.
KAMA SERIKALI INGEYAFANYA HAYA:
1. kutoa ajira kwa vijana.
2. Kudhibiti mfumuko wa bei....
CHADEMA INGEKUWA KAMA VYAMA VINGINE VYA KWAIDA SANA..
LAKINI PAMOJA NA KUSHABIKIA CHADEMA JE , WANACHAMA WAKE WANAJUA CHAMA CHAO KITAWAFIKISHAJE PALE WANAPOTAKA??