MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,839
ACHENI UNAFIKI HAYA NI MANENO HAPA CHINI NI YA DR SLAA TENA MWEZI JULY 2014 .....LISSU NAE KAONGEA MARA NYINGI TU .....
ESCROW:
-Katibu Mkuu huku Akiwa na Nyaraka kadhaa anasema:Nina barua ya AG wakati wa kuhamisha Hela.Barua inasema "This letter is instructive).Barua nyingi zimeandikwa na pia IPTL imeandika tarehe 5.9.2013 kuwa hela zisitolewe bado kuna utata
-Hadi sasa tunashangaa mtu anaenda kufungua kesi kwa jambo lililoko Bungeni.Ibara ya 100 ya katiba inakataza.PAP anapoenda kumshtaki Kafulila inashangaza
- Katibu Mkuu: Nina Bank statement Business Banking a/c no 9010000125294. Tarehe 29.11.2013 hela imekua transfered zaidi Bilioni 8 kwa mara ya kwanza. Hii ni akaunti iliyofunguliwa kwa ajili yake tu. Tarehe 4.12.2013 Checkbook ilitolewa kwa mara ya kwanza. Kampuni kubwa kama hiyo haina check book. Tarehe check namba 524 ilutumika kutoa milioni 15.
- Kukawa na mtindo baada ya hapo wa kuingiza hela na kutoa
- 31.3.2014 hela ya mwisho ilitolewa kwa ajili management Fee zaidi ya milioni 50. Sasa balance tuliyonayo ni standing balance ya 1.1.2014
- Transaction zilizofanyika pia kuna udanganyifu mkubwa wa malipo ya kodi
- Sasa Serikali itoke na Tamko.Pesa zilizochukuliwa zote ni bilioni 400 ingawa kwenye mlolongo wa trabsaction inaonekana kuna transaction ya Bilioni 188 kwenye akaunti hii
-Katibu Mkuu: Hatuwezi pia kupeleka au kutegemea msaada wa PCCB na ofisi yake maana kazi yake siku zote anailinda serikali
-Katibu Mkuu: Kuna utata jinsi PAP alivyoingia nchini. Hatuibembelezi serikali. Tunamtaka Kikwete atoke hadharani. Aitishe vyombo vyake. Tunataka international audit ifanyike. Na tunataka Jumuiya ya Kimataifa ituunge Mkono kama walivyotuunga kwenye swala la EPA.