MC RAS PAROKO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 621
- 612
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?
Tunasubiri maisha bora kwa kila Mtanzania. Miaka kumi sasa inakatika hatuoni.
Asante sana ndugu yangu umewamaliza magamba kwa single shot! Mungu akubariki kwa majibu yenye busara na weledi wa hali ya juu. Hii ndio chadema bhanaaa
Yanakuja maisha bora.. Leo Fast jet anatia saini ujengaji wa flyover ya pale ubungo huko Tokyo, Japan.. kutimiza ahadi alioitoa mwaka 2005.. Kwa hiyo kwa speed hii hatutakiwi kuwa na haraka.. Nadhani miaka 40 ijayo atakuwa ametimiza robo ya ahadi zake..
Swali na majibu muafaka huku watu hawataki ujinga wa watawala facts tuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Labda kama watawalipa wananchi wa moshi wataandamana kule walistaarabika siku mingi sana kuwa hakuna kutumikishwa bure kwa maslahi ya wachache
Yanakuja maisha bora.. Leo Fast jet anatia saini ujengaji wa flyover ya pale ubungo huko Tokyo, Japan.. kutimiza ahadi alioitoa mwaka 2005.. Kwa hiyo kwa speed hii hatutakiwi kuwa na haraka.. Nadhani miaka 40 ijayo atakuwa ametimiza robo ya ahadi zake..
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?
moja katu ya mikoa tulivu tanzania ni pamoja na kilimanjaroo. Nawaza kutafuta fedha kúendesha maisha binafsi siwazi maandamano yananipotezea wakati wa kuzalisha fedha ( kwa 12:18:33wachaga they know how to manage tyme since they werw born)
sent from my blackberry 9860 using jamiiforums
Wanaotakiwa kushawishi watu kuandamana ni ccm kwani wao huku ndo wapinzani
NB: tangu vyama vingi 1995 ccm haijachukua ubunge moshi mjini
Tunasubiri maisha bora kwa kila Mtanzania. Miaka kumi sasa inakatika hatuoni.
Wakuu na maGT naomba mnisaidie, mbona sijawahi kusikia CHADEMA wakiandamana moshi au ndo kusema moshi hapana matatizo kama ambayo huwasababisha wao kuandamana sehemu nyingine? Au ndo kusema moshi hapana tatizo na wakishika dola nchi itakuwa kama Moshi?