Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,570
- 21,089
Idf imefanyaje?Tatizo ni Hamas πΌ
Wewe dogo weweπ€£Tatizo ni Hamas πΌ
HahahaaWewe dogo weweπ€£
Mkuu kwenye uzi wangu hatutaki matusi kama huna cha kujadili bora ukae kimya?Ile kenge jiwe ilikuwa inatumia vibaya Kodi za watanganyika Kwa maslahi yake binafsi
Kenge maza wako,ebhoo!!!Ile kenge jiwe ilikuwa inatumia vibaya Kodi za watanganyika Kwa maslahi yake binafsi
Wananchi wameshtukaUtetee ujinga wakati nyumbani huna maji wala Umeme? Halafu kuna mpuuzi anakuja na hoja ya kuweka sura sijui kwenye nini.....
Like siyo kuraKatika hali ya kushangaza kumetoka aidha mgomo au chama kimekosa Mvuto kabisa.
Wengine wanadai aaah wapi sio kukosa mvuto bali chama hakitoi maokoto kama zamani hivyo watu wanaovutwa na mafumba wamekikacha.
Enzi za huko nyuma tulishuhudia social media zilizobamba kwenye anga la Tanzania.
Walizuka watu binafsi waliofadhiliwa na kujifadhili kukitetea chama (Die Hard Platforms) kwa mbivu na mbichi.
Media za Twitter, Youtube na Facebook kama zote.
Awamu hii naona Kuna Ukame mitandaoni.
Je, shida ni nini?
Mwenyewe kashachoka....cdm wamemkacha analalamika eti CDM hawataki kufanya mikutanoHakuna Cha kutetea. Maji, umeme, mfumuko wa Bei etc, ndio maana CCM kwa Sasa imejificha kwa makonda.
Kwamba ccm wana element za uHamas?Vita ya Israel na Hamas imesababisha Ccm ikose watetezi.
CCM inatafuta kura ilendelee kushika dola na kura haziko mitandaoniNini Pointi yako hapa bwana Comte
Kwa hiyo Cypirian Msiba alikuwa anatafuta nini?CCM inatafuta kura ilendelee kushika dola na kura haziko mitandaoni