Ushindi wa hila,wamekaa bungeni kukwamisha kila kitu kitakachoboresha maisha ya Mtanzania,kila mtu anajua walishindaje wataendelea kushinda si wananchi tunawaendekeza na kuwaacha wafanya watakalo lakini wajiangalie NGuvu ya UMMA itakapo amua vinginevyo hawatadeka tenaWangekuwa Mazuzu wange tushinda kwenye uchaguzi! Ikumbukwe CCM waliongoza kupata wabunge wengi kwa 87 percent na Urais wakashinda! Mimi naona tumeanza ushabiki wa kujiridhisha mapema! Angalie sana CCM bado wako vizuri!
Wengine wanamtegemea Shekh Yahaya na waganga wa kienyeji unadhani watakuwa na akili kweliKatika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.
Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.
Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.
Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????
Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???
Chadema wanapowapinga wanakosea????
Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.
Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.
Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.
Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????
Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???
Chadema wanapowapinga wanakosea????
Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
Wangekuwa Mazuzu wange tushinda kwenye uchaguzi! Ikumbukwe CCM waliongoza kupata wabunge wengi kwa 87 percent na Urais wakashinda! Mimi naona tumeanza ushabiki wa kujiridhisha mapema! Angalie sana CCM bado wako vizuri!
chadema ndo Mazuzu kwa kuwa na kiongozi mmoja tu anayetegemewa. CCM ni ya wengi any can lead but not Chadema.
Siyo kweli kuwa CCM wote ni mazuzu, akitoka mtu CCM akija CDM uzuzu utakwisha? Ni imani yangu saizi watu wamechoka CCM hivyo wanatafuta unafuu na unafuu huo umeindokea CDM baada ya kuonyesha inaweza. Mbona Mpendazoe alipoanzisha CCJ alionekana mtu asiye na uelekeo lakini alipojiunga CDM anaonekana mtu makini. Achana na huyo yupo yule mwanamashairi Shibuda mbunge wa CDM msukuma pekee mwenye tambo na mbwembwe nyingi mbunge wa Shinyanga ni zuzu japo yupo CDM? Alikiponda chama chake pale bungeni kama amepata wazimu, mbona hamsemi. Tuache ku generalize hoja very likely conclusion ikawa mbovu. Ni mtazamo tu.
chadema ndo Mazuzu kwa kuwa na kiongozi mmoja tu anayetegemewa. CCM ni ya wengi any can lead but not Chadema.
.........Hata kama ulikuwa mtu unajua kujenga hoja ukiungana na CCM lazima uwe kilaza,kuna pepo mbaya sana pale anachakachua akili za watu...Tazama hawa kabla awajajiunga CCM au kukubaliana na mawazo ya CCM
Pima mawazo yao before CCM and after CCM..........
- Tambwe Hiza
[*]Prof Lipumba
[*]James Mbatia wa NCCR Manunuzi according to Mh Halima Mdee
Tafadhari mod turudishie kitufe cha thanks!!!!!!!!! Mkuu Kakini hao watu walishajifilia zamani saana!!!!!!!!! Utawala wamechukua kimabavu, sasa wanangjea kuzikwa. Tutawazika 2015, kama ni majasiri hebu watupe uhuru wa kutunga katiba mpya, tuipate kabla ya uchaguzi!!!!!!!!!!!!Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.
Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.
Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.
Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????
Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???
Chadema wanapowapinga wanakosea????
Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.
Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki
Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia
Siyo kweli kuwa CCM wote ni mazuzu, akitoka mtu CCM akija CDM uzuzu utakwisha? Ni imani yangu saizi watu wamechoka CCM hivyo wanatafuta unafuu na unafuu huo umeindokea CDM baada ya kuonyesha inaweza. Mbona Mpendazoe alipoanzisha CCJ alionekana mtu asiye na uelekeo lakini alipojiunga CDM anaonekana mtu makini. Achana na huyo yupo yule mwanamashairi Shibuda mbunge wa CDM msukuma pekee mwenye tambo na mbwembwe nyingi mbunge wa Shinyanga ni zuzu japo yupo CDM? Alikiponda chama chake pale bungeni kama amepata wazimu, mbona hamsemi. Tuache ku generalize hoja very likely conclusion ikawa mbovu. Ni mtazamo tu.