nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 1,940
- 1,248
We unamfahamu km nani, kima kwl yanakuhusu niniCcm wajinga sana
Waliwajaza WAFANYA BIASHARA HARAMU PALE MLIMANI CITY ILI WAKICHANGIE CHAMA
Hebinder sethi Raiya wa KENYA alishiriki kama nani pale?
Mjinga babako maana hajakufunza kuwa uache kufuatilia yasiyokuhusu. We ni kenge tuCcm wajinga sana
Waliwajaza WAFANYA BIASHARA HARAMU PALE MLIMANI CITY ILI WAKICHANGIE CHAMA
Hebinder sethi Raiya wa KENYA alishiriki kama nani pale?
Ndio mpinzani wa kweli, the rest ni peoject zaoTangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.
Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.
Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.
Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
Ndio ukwl wamejitundika wenyewe wajinga waleEndelea kujitekenya na kucheka
Kama haikufa kipindi cha Jpm , hawatoweza kufa foreverIfe mara mbili?
Hakuna upuuzi km huohata wewe hujui kuwa CHADEMA ni Imani? hujui kuwa ni jambo la ndani ya moyo wa mtu? Mimi huwa ninavaa kijani, ila sio wa kijani
We ni mzuka nini? Iko wapi sahv?Kama haikufa kipindi cha Jpm , hawatoweza kufa forever
Chadema ikivuka hapa haifi tenaTangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.
Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.
Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.
Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
una uhakika imekufa?utakufa weweIfe mara mbili?
unajua kufa kwa chama kunatokeaje? Kisheria?We ni mzuka nini? Iko wapi sahv?
Uwe hamble kwa mafisi na wahuni?Mchezo wa siasa hauhutaji hasira. Just be humble, na hicho ndiyo hao watu wenu wamekosa
Kwa ivo ufuasi kwa chama cha siasa hutegemea nini?Hakuna upuuzi km huo
Hamble ndiyo nini sasa? Na nyie Std VII mnasumbuaUwe hamble kwa mafisi na wahuni?
Wewe unajua kindengereko? Kiingereza ni lugha tu kama amekosea wewe andika vizuri hakuna haja ya kumpiga kijembe!Hamble ndiyo nini sasa? Na nyie Std VII mnasumbua
Ndio wabunge zenu watarajiwa, tuliaHamble ndiyo nini sasa? Na nyie Std VII mnasumbua
Mbaya wako muombee kifo ili uendelee kula bata kwa raha zako.Tangu baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kupita, harakati za kuisambaratisha CHADEMA zimekuwa nyingi.
Ingawa sasa harakati hizo zimechukua mkondo mwingine na kuwa za kiwango cha juu, lakini ni jambo ambalo limeshazoeleka na kuwa sehemu ya siasa zetu Tanzania.
Nakumbuka wakati fulani Mzee Steven Wassira wakati huo akigombea ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM, alisema achaguliwe kwa kuwa anao uwezo wa kuiua CHADEMA.
Kwani CCM itafaidika nini kama CHADEMA itakufa na uwepo wa CHADEMA unaleta kikwazo gani kwa CCM?
Aisee hebu ACHA urongo bwana yaani wahehe ni wajanjaNilipomwona Seth Singh pale Mlimani City nikamkumbuka Seth Mwamoto wa Majembe Auction Mart
Iringa ni chimbuko la Wajanja wote wa Tanzania πππ