nakumbuka siku ile malori yalisomba wanaccm kiasi kikubwa kuna picha wakati mkutano umeisha kulikuwa na vita maana kuna watu waliahidiwa buku kumi wakakosa , walikataa kupanda mabasi na malori yaliyoleta.Kujaza uwanja wa jangwani kwa kuletwa na malori na mabasi , maanke umati huo ulilipwa uliuje kujaza uwaja wa jangwa bali haikuwa dhamira yao kushabikia ccm.maake bila pesa wasingekuja.