siku lazima kuwe na juu na chini.haiwezekani vitu vyote vikawa juu au chini.vyama vya siasa hivyo hivyo kuna ambavyo matendo yake yanavutia wananchi huku vingine vikionekana kama muunganiko wa wasanii.ccm ni chama tawala hivyo lazima kiongelewe sana.Chadema licha ya kuwa chama kikuu cha upinzani lakini matendo yake na sera zake zina mashiko kwa wengi wa watanzania hivyo kuwa na shauku ya kujua mengi kuliko vyama vingine kama Tlp ambacho ni chama cha mtu binafsi au CUF bi mdogo wa ccm au hata Nccr-mageuzi asiyejitambua hata kama ni mpinzani wa nini maana anapingana mpaka na wapinzani wengine.